Elections 2010 Hawa wawezakuwa wakuu wapya wa wilaya??

Njaare

JF-Expert Member
Sep 26, 2010
1,081
275
Huenda wafuatao wakawa wakuu wapya wa baadhi ya wilaya baada ya CCM kumaliza kuchakachua

Nakaaya Sumari
Efraim Kibonde
Flora Mbasha
Dr. Batilda Buriani
Philp Sanka Marmo
Sekioni David
Khadija Kopa
Justine Salakana

Wakuu wa Mikoa
Lawrence Masha
Benson Mpesya
 

Kwa mantiki hiyo unaconfirm JK ndio kashinda urais au??
 
Mimi sibishi ila na swali...........Wa nnchi gani?
 

Fredrick Mwakalebela?
Raphael Chegeni?
 

I feel like throwing up!
 
Joti
Masanja
Marlaw (yule wa "piiipiii")
Juma Nature
 

mmhhh, inawezekana wakapewa u-dc na u rc kwa kupeana pole, si unajua huku kwetu cheo unapewa kama kishkaji. ukiimba pambio kumpamba bosi unateuliwa. ....mf waunaume na maendeleo, tusonge mbele ohooh.....hao wanao-vet sijui wazingatia nini
 
:nono: wakuu hawa kwenye nchi gani na raisi yupi, sijasikia mshindi wa uraisi bado kwa hapa bongo.
 
Kwa mchakachuo unaoendelea bila aibu, Riz1 aweza kuwa waziri wa mambo ya ndani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…