Hawa watu wanapitia mateso yasiyomithilika

Hawa watu wanapitia mateso yasiyomithilika

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,648
Reaction score
10,843
Siwafahamu wahanga, lakini baada ya kusikiliza mathila yaliyowapata, nimejikuta nalengwalengwa na machozi!

Kama mimi mwanaume, tena nisiye na ukaribu wowote na wahanga nimeumia hivi, watu wao wa karibu wapo katika hali gani?

Wazazi wao wanateseka kwa kiasi gani?

Fikiri jinsi wenzi wao wanavyolia!

Ona jinsi watu wao wa karibu wanavyoumia!

Hivi watawala hawaguswi na mapito magumu wanayowapitisha watu wasio na hatia?

Baadhi ya watu wamegeuka kuwa katili kuzidi wanyama?

Au yale aliyoyasema Rais Peter Botha wa Afrika Kusini yanatimia Tanzania?

 
Mwenyezi Mungu atajibu, kwa hakika bila shaka atajibu.
 
Hatuna njia nyingine za kisheria za kumuondolea uhalali asietakiwa kugombea!ni kumchafua tu Kwa mambo kama haya!!

Inasikitisha!!

KAZI na utu ,tunasongambeke!
 
Back
Top Bottom