UMEKOSEA BI shosti hata huyo unayesema ana BAHATI hana ivi kuna zawadi au bahati kwa BINADAMU yoyote kuwa na m........?au bahati unayoiongelea hapan ni ipi BAHATI ILI MTU HATA UKIFA UNAACHA JINA....YAANI UNA ALAMA...SASA inaweza ikawa majaliwa au vp...sasa unapotaka kusema eti yeye ndo mwenye bahati kwa kuwa na nyumba HALIPI KODI ina maana gani kama jumba zima yupo peke yake...angalia vya kuandika hapa! KILA MTU ANA BAHATI USIBAGUE NDOMANA nimesema yote haya!!!