A Akilinjema JF-Expert Member Joined Aug 9, 2016 Posts 11,428 Reaction score 11,837 Jul 22, 2022 #581 Upendo wenyewe umepoa siku hizi ndio maana misiba ya siku hizi watu hawaliagi tena! Ndo kwanza wanapaka meckups
Upendo wenyewe umepoa siku hizi ndio maana misiba ya siku hizi watu hawaliagi tena! Ndo kwanza wanapaka meckups
Patra31 JF-Expert Member Joined Apr 24, 2020 Posts 6,933 Reaction score 13,944 Jul 22, 2022 #582 Akilinjema said: Upendo umepoa ndio maana misiba ya siku hizi watu hawaliagi tena! Ndo kwanza wanapaka meckups Click to expand... huku wengine wanakwambia " chukua sim yangu nikifika kwenye jeneza nitajidai kuinama kukumbatia marehemu unipige picha nije nipost Insta"
Akilinjema said: Upendo umepoa ndio maana misiba ya siku hizi watu hawaliagi tena! Ndo kwanza wanapaka meckups Click to expand... huku wengine wanakwambia " chukua sim yangu nikifika kwenye jeneza nitajidai kuinama kukumbatia marehemu unipige picha nije nipost Insta"
reymage JF-Expert Member Joined Aug 5, 2021 Posts 12,426 Reaction score 29,306 Jul 27, 2022 #583 Patra31 said: huku wengine wanakwambia " chukua sim yangu nikifika kwenye jeneza nitajidai kuinama kukumbatia marehemu unipige picha nije nipost Insta" Click to expand... Mwenza wako au danga tuu! Kaaahhh
Patra31 said: huku wengine wanakwambia " chukua sim yangu nikifika kwenye jeneza nitajidai kuinama kukumbatia marehemu unipige picha nije nipost Insta" Click to expand... Mwenza wako au danga tuu! Kaaahhh
Cmfungua JF-Expert Member Joined Jul 14, 2021 Posts 381 Reaction score 1,087 Oct 1, 2022 #584 Ulie andika hiii uzi serikali ikupunguzie tozo
Dr criminal JF-Expert Member Joined May 16, 2022 Posts 2,284 Reaction score 4,330 Oct 1, 2022 #585 Huu uzi mama ameuona?, Mana sikuhzi anaguswa sana na vijana,
Joannah JF-Expert Member Joined May 8, 2020 Posts 21,708 Reaction score 51,122 Oct 1, 2022 #586 Nishapiga Sana hizo pigo,na bado akazingua!kwa Sasa atadance kulingana na my tunes....atajijua na mibalaa yake
Nishapiga Sana hizo pigo,na bado akazingua!kwa Sasa atadance kulingana na my tunes....atajijua na mibalaa yake
Mtili wandu JF-Expert Member Joined Dec 15, 2012 Posts 9,293 Reaction score 12,875 Oct 1, 2022 #587 Duuh ukute hana hela kila kitu kwake kibaya
To yeye JF-Expert Member Joined May 30, 2016 Posts 19,244 Reaction score 34,605 Oct 2, 2022 Thread starter #588 Myangu said: Duuh ukute hana hela kila kitu kwake kibaya Click to expand... 🤣🤣🤣🤣🚴🚴🚴
To yeye JF-Expert Member Joined May 30, 2016 Posts 19,244 Reaction score 34,605 Oct 2, 2022 Thread starter #589 Joannah said: Nishapiga Sana hizo pigo,na bado akazingua!kwa Sasa atadance kulingana na my tunes....atajijua na mibalaa yake Click to expand... Tatizo wanaangaika mno😏
Joannah said: Nishapiga Sana hizo pigo,na bado akazingua!kwa Sasa atadance kulingana na my tunes....atajijua na mibalaa yake Click to expand... Tatizo wanaangaika mno😏
To yeye JF-Expert Member Joined May 30, 2016 Posts 19,244 Reaction score 34,605 Oct 2, 2022 Thread starter #590 Dr criminal said: Huu uzi mama ameuona?, Mana sikuhzi anaguswa sana na vijana, Click to expand... 🤣🤣🤣🤣Huyu mama nae
Dr criminal said: Huu uzi mama ameuona?, Mana sikuhzi anaguswa sana na vijana, Click to expand... 🤣🤣🤣🤣Huyu mama nae
To yeye JF-Expert Member Joined May 30, 2016 Posts 19,244 Reaction score 34,605 Oct 2, 2022 Thread starter #591 Cmfungua said: Ulie andika hiii uzi serikali ikupunguzie tozo Click to expand... 🤣hakika,maana zimenizidia
Cmfungua said: Ulie andika hiii uzi serikali ikupunguzie tozo Click to expand... 🤣hakika,maana zimenizidia
To yeye JF-Expert Member Joined May 30, 2016 Posts 19,244 Reaction score 34,605 Oct 2, 2022 Thread starter #592 Akilinjema said: Upendo wenyewe umepoa siku hizi ndio maana misiba ya siku hizi watu hawaliagi tena! Ndo kwanza wanapaka meckups Click to expand... 🤣🤣🤣
Akilinjema said: Upendo wenyewe umepoa siku hizi ndio maana misiba ya siku hizi watu hawaliagi tena! Ndo kwanza wanapaka meckups Click to expand... 🤣🤣🤣
To yeye JF-Expert Member Joined May 30, 2016 Posts 19,244 Reaction score 34,605 Oct 2, 2022 Thread starter #593 Patra31 said: huku wengine wanakwambia " chukua sim yangu nikifika kwenye jeneza nitajidai kuinama kukumbatia marehemu unipige picha nije nipost Insta" Click to expand... 🤣🤣
Patra31 said: huku wengine wanakwambia " chukua sim yangu nikifika kwenye jeneza nitajidai kuinama kukumbatia marehemu unipige picha nije nipost Insta" Click to expand... 🤣🤣
Joannah JF-Expert Member Joined May 8, 2020 Posts 21,708 Reaction score 51,122 Oct 2, 2022 #594 Beesmom said: Tatizo wanaangaika mno😏 Click to expand... Hawana jema
Mtili wandu JF-Expert Member Joined Dec 15, 2012 Posts 9,293 Reaction score 12,875 Oct 2, 2022 #595 Beesmom said: 🤣🤣🤣🤣🚴🚴🚴 Click to expand... Mwanaume akiwa gana pesa hata kuvaa vizuri hataki, na nguvu za kiume zinaisha kabisa ndugu.
Beesmom said: 🤣🤣🤣🤣🚴🚴🚴 Click to expand... Mwanaume akiwa gana pesa hata kuvaa vizuri hataki, na nguvu za kiume zinaisha kabisa ndugu.
To yeye JF-Expert Member Joined May 30, 2016 Posts 19,244 Reaction score 34,605 Oct 2, 2022 Thread starter #596 Myangu said: Mwanaume akiwa gana pesa hata kuvaa vizuri hataki, na nguvu za kiume zinaisha kabisa ndugu. Click to expand... 🤣🤣🤣🤣🤣Aisee
Myangu said: Mwanaume akiwa gana pesa hata kuvaa vizuri hataki, na nguvu za kiume zinaisha kabisa ndugu. Click to expand... 🤣🤣🤣🤣🤣Aisee
ephen_ JF-Expert Member Joined Oct 28, 2022 Posts 16,787 Reaction score 61,260 Jun 16, 2024 #597 Southern Highland said: Najitolea mifuko kumi ya cement kwa ajili ya sanamu lako. Nawasilisha Click to expand... 😂😂
Southern Highland said: Najitolea mifuko kumi ya cement kwa ajili ya sanamu lako. Nawasilisha Click to expand... 😂😂