Hawa wakatazwe kuvaa suruari

Hawa wakatazwe kuvaa suruari

Braza Kede

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
5,168
Reaction score
8,972
Na ikiwezekana wakamatwe

Wew unajijua juu mpana kama kabati hlf vitraco kama fundi gereji

au sawa traco lipo ila sasa halieleweki ni kama limegawanyikagawanyika kama boflo

na viguu vyako kama chelewa za fagio unatukwaza

mambo mengine wadada tunakatana stimu

Hii sio pasono wakuu kwanza sipo seriaz

mei mosi njema wakuu
 
Na ikiwezekana wakamatwe

Wew unajijua juu mpana kama kabati hlf vitraco kama fundi gereji

au sawa traco lipo ila sasa halieleweki ni kama limegawanyikagawanyika kama boflo

na viguu vyako kama chelewa za fagio unatukwaza

mambo mengine wadada tunakatana stimu

Hii sio pasono wakuu kwanza sipo seriaz

mei mosi njema wakuu
Kumbuka mtu anavaa Mavazi anayoyoyaona yeye kwenye UBONGO wake yanamfurahisha na kumpendeza na sio kuwafurahisha au kuwapendezesha wengine.

Wewe ni nani kumpangia mtu nna ya kuvaa?

THERE IS NO MORAL POLICE
 
mlishe vzur ulonae na mpunguzie stress mbon vinyama anavyo tu
 
Mwaka wa kufosi huuu....tutavaa mtake msitake mpk mzoee macho yaone tutrako kama matrakooo...
 
Back
Top Bottom