Hawa si matapeli hawa

Hawa si matapeli hawa

symwo

Senior Member
Joined
Jan 15, 2014
Posts
152
Reaction score
49
Niliomba kazi mbili tofauti ZOOM kampuni moja inaitwa TIRD jingine TANZANIA LABOUR FOUNDATION COMPANY,cha kushangaza namba ya simu moja imenitumia msg tofauti eti naitwa kwenye interview kwa kazi mbili tofauti tena makampuni mawili tofauti jana walinitumia msg "
Habari,
Kesho tarehe 27/08/2015, saa tano na nusu asubuhi, unatakiwa kufika office zetu zilizopo maeneo ya Mazense Daraja jengo la Wanama house, ghorofa ya Nne, chumba namba Mbili, kwa ajili ya kuchukua fomu ya Usahili zitakazo gharimu kiasi cha shlng Elfu kumi na unatakiwa kufika na Vyeti vyako Original.
Ahsante."........walivohusisha hela tu moja kwa moja nkajua matapeli,sasa walivoona sijaenda wakatuma msg nyingine leo "Habari, Tanzania Labour Foundation Company, inakuharifu kufika katika interview siku ya kesho trh 28 itakayofanyika manzese darajani, jengo la wanama house, kwanzia saa nne kamili asubuhi. INTERVIEW NI BURE, HAKUNA MALIPO YA AINA YEYOTE ILE. Fika pamoja na vyeti vyako copy na original.".......sasa hawa si wanataka niende manzese wakanikabe hawa

Namba iliyotuma msg ni 0688328413
 
Halafu sms yenyewe wameituma saa tano na nusu usiku,hawa nimatapeli ambao either hawajaenda shule,au hawana ujuzi,ni kampuni gani inakutumia msg ya kazi usiku.....
 
Ogopa sana kazi iliyoandikwa ZOOM, hakuna address yoyote ya kampuni halafu unauwezo wa kuaaply kupitia ile button yao ya brown imeandikwa APPLYNOW,,

Utapigwa tu
 
Apumzike tu mkuu usahili utafanyika manzese bana atakama hawataki pesa siwezi fanya usahili manzese hata siku moja!

Hahahaa mkuu umenichekesha sana...manzese si kama posta tu?
 
Hahahah...nimecheka sanaa....ya kwanza wakakwambia uje na elfu kumi, walivyoona hujaja, ya pili wakaamua waseme kabisaa kuwa interview ni bureeeee
 
Assume wamemtumia mtu aliyeko kigoma sms hiyo, na huyo mtu amekaa sana bila kuwa na kazi mtaani na haifahamu vizuri manzese ilivyo. Pia fikiria akakopa nauli za kujia dar toka kigoma, sasa pata picha na interview isiwepo aishie kukabwa. Nyie matapeli muogopeni Mungu aisee!, mtawaua watu kwa mawazo na presha bure!. Hongera kwa wewe umejitambua, ila nikimkamata tapeli wa ajira sijui nitamfanya nini wala sielewi!. Sheria zingine tuwe tunajichukulia mkononi maana sio dhambi
 
Hahahaa mkuu umenichekesha sana...manzese si kama posta tu?

Mimi siwezi kuwapata ila ninacho wafanyia wenyewe wana nijua na block namba zao nina mwanangu yuko tigo pale makao makuu mimi namwambia tu hawajamaa wamenigusa ana nambia nipe namba waliyotumia ana block ili isiwe hathari kwa ndugu zangu wasaka ajira kama mimi!

Coz kuna siku walivyo tuma sms yao nliwapigia wakajifanya ngoja nko kikao then nkipiga hawapokei nkampa huyu mwanangu wa tigo pale akampigia kwakutumia +100 akapokea akamuuliza yuko wapi akasema mbeya aka block namba yake na ilikua na salio la kutosha kama laki na ishirini hivi ili tukose sote maana namba ikiwa blocked kule tigo HQ ufungui kokote!

Kwanini nimeamua niwafanye hivi kwanza huyu mwanangu ambaye yuko tigo wamesha mla kama elfu 70 yani 35 mara mbili kwa hiyo ana hasira nao sana!

Nahili tatizo lipo zoom kwa sana
 
Jamani HAWA JAMAA WAMENIITA MM KESHO SAA 10 .30 pm kwa ajili ya interview Hehehehehehehehehehehennenennenenenenenenneeenenehehehheeheh tar 3.9.2015 kwa kweli kama Hali NDIO hii naomba
MKUU FANYA MPANGO WA BLOCK NAMBA HII 0688328413
 
mimi niliapply huko zoom kwny kampuni moja inaitwa dewland ltd wakanitumia text eti tupo kikaoni tunapitia cv yako n nzuri naweza kukusaidia kupata kazi hii ila kwa masharti yafuatayo: salary take home n lak 7,mshahara wako wa kwanza utanipa laki 3 kwa kukusaidia then leo kabla ya saa 12 jion tuma tigo pesa elfu 45 ili niongee na mtu wa interview anipe maswali na majibu ya interview nikutumie kwa email yako.Anaitwa mr.vicent namb yake 0653013175, m nikajua hawa matapeli sikuwajibu chochote naona kimya mpk leo.
 
mimi niliapply huko zoom kwny kampuni moja inaitwa dewland ltd wakanitumia text eti tupo kikaoni tunapitia cv yako n nzuri naweza kukusaidia kupata kazi hii ila kwa masharti yafuatayo: salary take home n lak 7,mshahara wako wa kwanza utanipa laki 3 kwa kukusaidia then leo kabla ya saa 12 jion tuma tigo pesa elfu 45 ili niongee na mtu wa interview anipe maswali na majibu ya interview nikutumie kwa email yako.Anaitwa mr.vicent namb yake 0653013175, m nikajua hawa matapeli sikuwajibu chochote naona kimya mpk leo.
kanitext pia..nimemwambia maswal wakae nayo..sina shida na majibu yao:argue::argue::argue::argue::argue::argue::argue:
 
mwenyewe wameniita sasa sijui kama ni kweli au lah
Hawajaniomba pesa

uwiiii usithubutu,mimi mwenyewe walianza kwa gia ya pesa kama nilivoandika hapo juu walivyoona nimewashtukia wakasema ni bure,utakabwa ndugu yangu
 
Jamani HAWA JAMAA WAMENIITA MM KESHO SAA 10 .30 pm kwa ajili ya interview Hehehehehehehehehehehennenennenenenenenenneeenenehehehheeheh tar 3.9.2015 kwa kweli kama Hali NDIO hii naomba
MKUU FANYA MPANGO WA BLOCK NAMBA HII 0688328413

pole,i hope hujaenda hahaha,maana ningeshakusikia kwenye vyombo vya habari,jinsi ulivyokabwa
 
Back
Top Bottom