Hawa ni Majamaa na 3 na ugali

Heri lee

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
981
Reaction score
538
Majamaa wa3 walishindana kula ugali na mboga ya maajabu
wa 1 alilukula sinia la ugali na maji lita 16 kama mboga
wa 2 alikula cnia la ugali na chumvi pkt 10 kama mboga
wa 3 ye akaamua kuagiza kisahani kidoogo cha ugali na masinia kumi mengine ya ugali akiyatumia ka mboga
 
duh!! ugali ndo mboga!! wa mwisho katisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…