Huku anaselebuka kwa nguvu zote, bungeni kazi kusinzia tu.....!!!!!!!!!
hapo ni saa kumi usiku j5 ......asubuhi yaani alhamisi anatakiwa saa tatu awe bungeni.....kwa nini asilale ndio maana hawataki live coverge
Mbona wabunge wenu na magwanda yao tunakesha nao Kona baa na hatusemi
Kiongozi wenu ni DJ sasa hawa kudance kuna ajabu gani?
Kiongozi wenu ni DJ sasa hawa kudance kuna ajabu gani?
kazi na dawa
Dj wetu anakesha usiku kucha kwenye mixxer alafu asubuhi alihamisi anamtandika Pinda maswali mazito mpaka pinda analia, mbaya zaidi wakumuokoa pinda wanakuwa wamesinzia hapo bungeni kwa uchovu wa majoka waliyopigiwa na dj wetu all nite long.Kiongozi wenu ni DJ sasa hawa kudance kuna ajabu gani?
Bungeni usingizi hapo mimacho kodooo nyambafuuuuuuuuuuuuuuu!!
Retired DJ; sasa yuko busy na M4C tu... Utamtaka!Kiongozi wenu ni DJ sasa hawa kudance kuna ajabu gani?