Mbona sioni baya, au umewaelewaje.......
...kwa-jinsi hilo gamaba(komba)lilivyo jikunja nyuma ya huyo mwana mama,bilashaka lilichafua suruali...
Mbona wabunge wenu na magwanda yao tunakesha nao Kona baa na hatusemi
Nani kakzuia kusema?Mbona wabunge wenu na magwanda yao tunakesha nao Kona baa na hatusemi
Tatizo sio kustarehe bali unafanya nini kabla na baada ya starehe!.Mbona wabunge wenu na magwanda yao tunakesha nao Kona baa na hatusemi