Ab-Titchaz JF-Expert Member Joined Jan 30, 2008 Posts 14,630 Reaction score 4,266 Sep 23, 2012 #21 BHULULU said: Sina uhakika na hilo, naomba Ab-Titchaz,atupe ufafanuzi kidogo Click to expand... Yule Shekhe marehemu alikua Mkenya lakini sera za udini wa Al-Shabab ndizo zilizomfanya avuke mpaka.
BHULULU said: Sina uhakika na hilo, naomba Ab-Titchaz,atupe ufafanuzi kidogo Click to expand... Yule Shekhe marehemu alikua Mkenya lakini sera za udini wa Al-Shabab ndizo zilizomfanya avuke mpaka.
BHULULU JF-Expert Member Joined Jun 28, 2012 Posts 4,994 Reaction score 2,044 Sep 23, 2012 #22 Ab-Titchaz said: Yule Shekhe marehemu alikua Mkenya lakini sera za udini wa Al-Shabab ndizo zilizomfanya avuke mpaka. Click to expand... OK, nashukuru kwa ufafanuzi mkuu.
Ab-Titchaz said: Yule Shekhe marehemu alikua Mkenya lakini sera za udini wa Al-Shabab ndizo zilizomfanya avuke mpaka. Click to expand... OK, nashukuru kwa ufafanuzi mkuu.
Cheche Mtungi JF-Expert Member Joined Nov 14, 2010 Posts 2,619 Reaction score 775 Sep 23, 2012 #23 MWANAWAVITTO said: Tazama unyama na ukatili unaofanywa na Al shabab inayosifiwa na SHEIKH ABOUD MOHAMED ROGO ALIYEUWA kwa kupigwa risasi hivi karibuni nchini Kenya Click to expand... Karibuni kwa Yesu wangu jamani,mambo hakuna kabisa!
MWANAWAVITTO said: Tazama unyama na ukatili unaofanywa na Al shabab inayosifiwa na SHEIKH ABOUD MOHAMED ROGO ALIYEUWA kwa kupigwa risasi hivi karibuni nchini Kenya Click to expand... Karibuni kwa Yesu wangu jamani,mambo hakuna kabisa!
mungelehumphrey Member Joined Sep 9, 2012 Posts 16 Reaction score 1 Sep 23, 2012 #24 Hivi kenya kweli wataweza kuwashinda hao jamaa wa al shaabab maana wanaonekana wana mtandao mkubwa sana wa kujilinda na bahati mbaya kenya ina wasomali wengi sana.
Hivi kenya kweli wataweza kuwashinda hao jamaa wa al shaabab maana wanaonekana wana mtandao mkubwa sana wa kujilinda na bahati mbaya kenya ina wasomali wengi sana.