Hawa ndio Watanzania waliokuwepo wakati Rose Odinga akidanganya kuhusu Olduvai Gorge

barafu

JF-Expert Member
Apr 28, 2013
6,739
32,874
image.jpeg
image.jpeg
image.jpeg
image.jpeg

Kumekuwa na upotoshaji mkubwa ambao umeanza kuenezwa na baadhi ya watu kuwa Joshua Nassari,Mbunge wa Arumeru Mashariki ni mmoja wa vijana wa Kitanzania waliokuwepo ukumbini wakati Rosemary Odinga akidanganya dunia kuwa Olduvai Gorge ipo Tanzania.

Ukweli ni kuwa kwenye mkutano huo Joshua Nassari hakuwepo,mkutano huu ulikuwa 2015 August,wakati Joshua akiwa "busy" na kampeni.Na ukweli mwingine ni kuwa Joshua alihudhuria mwaka mwingine uliotangulia ambapo toka Tanzania Joshua aliambatana na Mbunge wa Shinyanga Mjini kupitia CCM Mheshimiwa Steven Massele na baadhi ya vijana wengine

Mkutano wa mwaka jana ambao Rosemary alitumia mkutano huo kuidanganya dunia,vijana waliohudhuria ni hiyo picha nyingine,ambapo yupo "bwana mdogo" wa kipindi cha ".....Agenda" cha TBC,hawa ndio walihudhulia mkutano huo kwa mwaka wa jana na si Joshua kama wengine wanavyotaka kumchafua.Hapa wa kuulizwa ni TTB na Wizara ya Utalii,wao toka mwaka wa jana 2015 August walikuwa wapi mpaka mitandao kama @JamiiForum imekuja kufukua upotoshaji huu??

Wakati Rose Odinga akimwaga uwongo huo,Watanzania vijana wetu walikuwa huko nje bustanini "wakirukaruka" na kupiga "selfie" za facebook na Instagram ili waje watuwekee huku mitandaoni.Sasa wenye "chuki" wanaanza kumvaa Joshua Nassari,basi wajue mkutano aliohudhuria Joshua Nassari ndio mkutano aliokuwepo Steven Massele mbunge wa CCM wa Shinyanga Mjini.
 
We jamaa ni mwehu tena pumbavu kabisa kuna mtu alikuuliza kuhusu joshua nasari kuwepo ama laa,heading yako inasemaje nawe umeandikaje hivi nyie chadema mnakunywa viroba gani mbona mi nakunywa lakini najielewa acha upoyoyo eti kumekuwepo taarifa za upotoshaji alafu heading inasema hawa ndo waliohudhuria,mwehu kabisa wewe.
 
Nikukosa umakini katika kazi na pia ushamba nao ni mzigo watanzania wengi hatuna exposure. Mtu tangia mdogo haja panda ndege kwenda hata hapo Mwanza alafu leo unampandisha ndege kwenda ulaya unafikiri nini kitatokea kama sio kushangaa na kusahau kuwa makini na kazi
 
We jamaa ni mwehu tena pumbavu kabisa kuna mtu alikuuliza kuhusu joshua nasari kuwepo ama laa,heading yako inasemaje nawe umeandikaje hivi nyie chadema mnakunywa viroba gani mbona mi nakunywa lakini najielewa acha upoyoyo eti kumekuwepo taarifa za upotoshaji alafu heading inasema hawa ndo waliohudhuria,mwehu kabisa wewe.

Mwandishi yupo sahihi kabisa ameandika kwa kumvutia msomaji ndio maana wewe ukaangalia na kusoma. Ukawa wapo smart ulitegemea Nassari awepo iliupate cha kuongea
 
We jamaa ni mwehu tena pumbavu kabisa kuna mtu alikuuliza kuhusu joshua nasari kuwepo ama laa,heading yako inasemaje nawe umeandikaje hivi nyie chadema mnakunywa viroba gani mbona mi nakunywa lakini najielewa acha upoyoyo eti kumekuwepo taarifa za upotoshaji alafu heading inasema hawa ndo waliohudhuria,mwehu kabisa wewe.
...huna taarifa halafu unalipuka tu!...kuna uzi uliletwa unamshutumu Mhe.Nassari alikuwepo na akakaa kimya!
...aibu yako,matusi yote yakurudie mwenyewe!
..hovyo!
 
Sasa kama kizungu hawajui mlitaka wafanye nini wakati mzungumzaji alimwaga umombo. Kiingereza wanajua cha kuandikia caption fb tu.
 
We jamaa ni mwehu tena pumbavu kabisa kuna mtu alikuuliza kuhusu joshua nasari kuwepo ama laa,heading yako inasemaje nawe umeandikaje hivi nyie chadema mnakunywa viroba gani mbona mi nakunywa lakini najielewa acha upoyoyo eti kumekuwepo taarifa za upotoshaji alafu heading inasema hawa ndo waliohudhuria,mwehu kabisa wewe.
Mkuu mbona unasema kwa lugha kali na matusi?Kosa langu ni nini?? Ndugu milioni milioni unanitukana?humu kuna uzi unaosema Joshua Nassari alikuwepo kwenye hicho kikao
 
Tanzania ni kichwa cha mwenda wazimu!! Halafu utakuta wametumia hela ya mlipa kodi, wanashindwa kutumia hiyo chance kuitangaza nchi yao wao wanakuwa na mawazo ya kupiga selfie na kuzirusha inst!! je Mabalozi wanao wakilisha nchi nje si kituko kabisa!!!!
 
Back
Top Bottom