BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,218
- 39,047
Asilimia kubwa ya wanaume waliofanikiwa kumiliki chumba na sebule wengi wao wanaishi na mwanamke ndani either ni mpenzi, mchumba au kimada.
Naona kwa kak zangu na marafiki pia wote wana ishi na wanawake ndani.
Nikabaini kwamba mwanaume anaeweza kupanga chumba na sebule na jiko kabisa anauwezo wa kifedha hivyo wanawake wengi wanakua wanatamani kuwa naye, na wanakua wanajipeleka peleka na hata kuzaa nao kwa kutegesha.
kuna mtu anapingana na hii research??
Naona kwa kak zangu na marafiki pia wote wana ishi na wanawake ndani.
Nikabaini kwamba mwanaume anaeweza kupanga chumba na sebule na jiko kabisa anauwezo wa kifedha hivyo wanawake wengi wanakua wanatamani kuwa naye, na wanakua wanajipeleka peleka na hata kuzaa nao kwa kutegesha.
kuna mtu anapingana na hii research??