Hawa ndio wachawi wa CCM



Mkuu unajitahidi... Bado kupiga push up tu!
 
Wanaotumia matusi ndo tatizo la ccm,Mwigulu,Nape na Bulembo toa hao watu,toa sera wananchi watakuelewa!
 
mkuu unajitahidi... Bado kupiga push up tu!

ikibidi kupiga push-up ili kuzuia fisadi papa lowassa kuingia ikulu tutapiga

kuipenda tanzania ni kuacha ushabiki na kumkataa fisadi papa lowassa
 
ikibidi kupiga push-up ili kuzuia fisadi papa lowassa kuingia ikulu tutapiga

kuipenda tanzania ni kuacha ushabiki na kumkataa fisadi papa lowassa

Pushup hazitowasaidia kitu, watz wameamua kubadilisha utawala na Lowasa ndiyo chaguo lao.Watz wanasema nchi yao sio Mali ya ccm tu bali ni mali ya watz wote
 
Lowasa ndiye chaguo la wengi hivyo utake ustake atakuwa rais wako tu

Bado Unao Muda Wa Kujitoa Kenye Team UFISADI = UKAWA = LOWASSA


KAMA UNAIPENDA TANZANIA, CHAGUA MAGUFULI ILI TUTOKOMEZE UFISADI PAPA.
 
Unahangaika bure tu, huu mwaka mabadiliko lazima na Lowasa ndiye rais

Mabadiliko Ya Kweli Anayo MAGUFULI Kiongozi Asiye FISADI. Bado Unao Muda Wa Kujitoa Kenye Team UFISADI = UKAWA = LOWASSA


KAMA UNAIPENDA TANZANIA CHAGUA MAGUFULI ILI TUTOKOMEZE UFISADI PAPA.
 
Pushup hazitowasaidia kitu, watz wameamua kubadilisha utawala na Lowasa ndiyo chaguo lao.Watz wanasema nchi yao sio Mali ya ccm tu bali ni mali ya watz wote

Bado Unao Muda Wa Kujitoa Kenye Team UFISADI = UKAWA = LOWASSA


KAMA UNAIPENDA TANZANIa CHAGUA MAGUFULI ILI TUTOKOMEZE UFISADI PAPA.
 
Bado Unao Muda Wa Kujitoa Kenye Team UFISADI = UKAWA = LOWASSA



KAMA UNAIPENDA TANZANIa CHAGUA MAGUFULI ILI TUTOKOMEZE UFISADI PAPA.

Msiposikiliza ushauri basi mtakiua chama chenu mapema sana…Dharau zenu ndio zinazoangamiza chama chenu
 
Pushup hazitowasaidia kitu, watz wameamua kubadilisha utawala na Lowasa ndiyo chaguo lao.Watz wanasema nchi yao sio Mali ya ccm tu bali ni mali ya watz wote


Wewe Wasema!!

TUSIKUBALI KUBARIKI UFISADI PAPA WA LOWASSA KWA KUMPA KURA ZETU.
 

Msiposikiliza ushauri basi mtakiua chama chenu mapema sana…Dharau zenu ndio zinazoangamiza chama chenu

Vema Kabisa Mkuu, Wapashe Hawa UKAWA.

TUSIKUBALi KUBARIKI UFISADI PAPA WA LOWASSA KWA KUMPA KURA ZETU.
 

Kikwete anajua sana alichokifanya. Sio mpumbavu yule. Alifanya kutengeneza njia rahisi kufanya mambo yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…