Hawa ndio wachawi wa CCM

Lowasa fisadi sawa ila tutamchagua tu kama sentensi hii mpe mchawi akulelee mwanao ila CCM imetuumiza sana huu muda wa mabadiliko.
 
Hiv escrow yumo,epa je,meremeta je, kama yupo niambie nihame ukawa


  1. Ndiyo HAMA UKAWA. Lowassa yumo kwenye ESCROW Scandal Part 1 maana Pesa ya Richmond ilitoka kwenye Akaunti za ESCROW.
  2. Ingawa Meremeta haikuwa ni UFISADI, bali Lowassa alishiriki kuiunda alipokuwa kwenye serikali ya Mkapa.
  3. Hakuna yeyote aliyeshutumiwa kuwepo kwenye ESCROW Part 2 ambaye anagombea uraisi.
  4. Hatutaki TENA kuongozwa na FISADI yeyote awe wa ESCROW au RICHMOND. Ondoka UKAWA asap.
 
kinana yuko wapi jamani simsikii kabisaa?? nataka nimuulize kmapeni zimeishA au?? mbona kimya saana

Ukiwa na 69% ya ushindi huhitaji kila mtu barabarani. MAGUFULI anatosha kuwaangamiza UKAWA wote.
 


Leta Hoja Badala Ya Kuwa Mshangiliaji tu. Hoja Zote Zinajibiwa Tena Kistaarabu - Bila Matusi.

MAGUFULI = MABADILIKO = M4C
 
Hakufai wewe na nani? wanaokufaa ni wale walioiba pesa za escrow?waliouza pesa za mabehewa feki, wanakufaa wale walioiba pesa za kivuko feki cha Bagamoyo?

Anayefaa ni MAGUFULI ambaye hajaiba popote. NI CHAGUO LA WANAOCHUKIA MAFISADI.
 
malizia kujibu kitu ulicho quote hadi mwisho nasubiri ujibu niendelee hujaongelea huo ufisadi mwingine lowasa alihusika au ufisadi ni richmond pekee nyingine zote zilikua takrima au hazikuliingizia taifa hasara

Kila kitu kimejibiwa, kama una hoja ya ziada leta. Kila hoja inajibiwa bila ulaghai au matusi.

MAGUFULI = CHAGUO LA WANAOCHUKIA MAFISADI
 
Lowasa fisadi sawa ila tutamchagua tu kama sentensi hii mpe mchawi akulelee mwanao ila CCM imetuumiza sana huu muda wa mabadiliko.

Kumpa LOWASSAfunguo za IKULU ni sawa na kufanya mapenzi na Muathirika wa Virusi Vya Ukimwi Bila Kondomu na Kutarajia Matokeo Mazuri.
 
Kumbe adhabu ya mafisadi nchi hii ni kuwanyima fursa ya kugombea urais na mambo yanaishia hapo..?! cc: Kubwajinga
 
Last edited by a moderator:


  1. Wengi Wanaomuunga Mkono Lowassa ni Vijana Ambao Hawana Kumbukumbu Nzuri ya Mabaya yake. Inabidi kutumia Nguvu Kuwakumbusha.
  2. Kama Tunaipenda Nchi Yetu, Basi Tuachane na Ushabiki wa Vyama na Kuangalia Wasifu Pekee wa Wagombea.
  3. Tuachane na Wanayosema Viongozi wa Vyama (Mbowe, Kinana n.k.) kwani Ni Wazi Wana Maslahi Binafsi na Sio ya Taifa.
  4. Ubaya wa Mgombea Ni Muhimu Sana Kuufahamu Kuliko Maneno Yanayo-peperushwa na Wapambe Wake
  5. Kuna Uongo Mwingi Unaopeperushwa na Lowassa + Mbowe Ambao Wote Ni Mafundi Sana Kwenye Kusambaza Uongo.
  6. Uongo Wao Umewaua Zitto, Dr. Slaa n.k., lakini Tusikubali Wakatudanganya na Sisi.
  7. Uchaguzi huu sio tena wa Wanamageuzi vs CCMBali sasa ni;
​
WATANZANIA vs MTANDAO WA MAFISADI (LOWASSA)
 
Sera mbovu za CCM ndo zimeua hiki chama.

Tatizo la CCM Sio Sera Mbovu Maana Uganda na Rwanda Ndio Wanazitumia Hizo Hizo Sera Kwa Mafanikio Makubwa. Tatizo Letu Ni Uongozi wa Maneno Mengi na Vitendo Vichache wa Kikwete.

Hebu Fikiria Kama Kila Mtu Serikalini Angetakiwa Kuwajibika Kama Raisi Wao MAGUFULI Nchi Ingekuwa Wapi Hivi Sasa???
 
Wamekupa mtoyo wako mapema pole kula zitakwisha lowasa tutampa
 

je. mtaweza? Je mawazo yako ndo ya wote. ..mi mawazo yangu na pia siko chama oxhote ccm itapita utashangaaa
 
Kumbe adhabu ya mafisadi nchi hii ni kuwanyima fursa ya kugombea urais na mambo yanaishia hapo..?! cc: Kubwajinga

Hicho ni Kiwango cha Chini cha Adhabu Kabla ya Kuwafikisha Mahakamani Ambayo Wakati Mwingine Inachukua Muda Mrefu au Inashindikana.

CCM ya Kikwete Wameshaanza Kuwafunga Jela Mawaziri. Sinashaka MAGUFULI na Mahakama yake Ya Mafisadi Atawafunga Wengi.




Yona + Mramba Mahakamani
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…