Bwana Mapesa
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 2,551
- 1,777
----- mtupu!! Watu wanasifiwa kwa uwezo wa kujimudu na kutegemeza familia zao kimaisha nyie mnasifia utumbo na uwezo wa kuchomana visu????? Ndiyo maana vijana wa unga ltd wanatokomea kwenye umaskini na ulevi wa bange na Gongo,unga ndio home,na acha nijisifu mimi nimeweza angalau kuwabadilisha wachache na wamekuwa stable kiasi,tuache kusifia ujinga,wenzetu wanazidi kutuacha mbali.
Jukwaa la biashara linakuhusu..achakuingilia maswagga ya watu charii angu.
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums