Mbunge Mteule wa jimbo la Tabora mjini kupitia CCM Hawa Subira Mwaifunga amewashukuru wakazi wa Tabora mjini kwa imani yao na mapenzi makubwa waliyoyaonyesha kwake baada ya kushinda na kutangazwa kuwa mbunge wa jimbo hilo kwa kipindi cha miaka mitano (2025-2030);
Ambapo ameahidi kwenda kuwa mstari wa mbele kwenye bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania ili kuhakikisha anawaletea wananchi maendeleo na kuendelea kukiheshimisha chama cha mapinduzi (CCM)
Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi ilimtangaza Hawa Subira Mwaifunga kuwa mshindi katika uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 29 mwaka huu
Soma pia
Ambapo ameahidi kwenda kuwa mstari wa mbele kwenye bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania ili kuhakikisha anawaletea wananchi maendeleo na kuendelea kukiheshimisha chama cha mapinduzi (CCM)
Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi ilimtangaza Hawa Subira Mwaifunga kuwa mshindi katika uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 29 mwaka huu
Soma pia