Nimesubiri makarani waje kuhesabu tupo wangapi kwetu, masaa 12 yamepita sijaona hata mmoja akipita kwangu, nilipotaka jioni ya leo hawa hapa 2 wapo kwa mangi wanapata vichangamshi
Ustaaraabu gan pumbafuuu...yaan watu wamepewa kaz badala wafanya wanazunguka kunywaa beer..na huo ni muda wa mchana kabisaaa..bora ingekuwa jioni tungenyamaza..
Wao wenyewe walipaswa kuvua hivyo vikoti vyao, wala camera isingetumika Ila kwa walivyotufanyia leo popote wakiinekana na vikoti vyao camera inawahusu.
Kama wewe imekuboa hiyo action basi jitahidi kuwastua wavue hivyo vikoti baada ya kazi wanawindwa kila kona.
katika nchi ya ovyo kila kitu lazima kiende ovyo, wewe ulitarajia nini labda ?. mimi nilipo ziona zile sarakasi zilizotokea kwenye zoezi zima la kuwapata makalani nikajua hakuna cha maana kitakachofanyika hapa ni vile tu tumeamua kuchezea pesa za serikali basiii.
katika nchi ya ovyo kila kitu lazima kiende ovyo, wewe ulitarajia nini labda ?. mimi nilipo ziona zile sarakasi zilizotokea kwenye zoezi zima la kuwapata makalani nikajua hakuna cha maana kitakachofanyika hapa ni vile tu tumeamua kuchezea pesa za serikali basiii.
Wangekuwa hawajavaa hivyo vikoti wala nisingewafuatilia, hawa watu wako na bifu kwetu waambie kabisa si kila pub ni ya kupita wakiwa wamevaa hivyo vikoti 😂