Statesmann
JF-Expert Member
- Jul 16, 2019
- 2,344
- 3,460
Nipo sehemu Nida wameleta namba pamoja na mawakala mitandao ili mtu aliichukua no. amaenda kusajili fingerprints.
Tatizo lililojitokeza ni mtandao wa airtel namba zao nyingi zinagoma kusoma kwenye system yao kwamba hazipo.
Akiingiza no. ya simu kwenye mfumo inaandika "No file found" kwamba haipo kabisa.
Mimi laini yangu imegoma kwamba eti haitambuliki nikajua tatzo ni langu pekee kumbe raia kibao pale laini zinagoma kusoma kwamba hazitambuliki na Airtel.
Nimewauliza vijana wanaosajili wanadai kwamba laini za zamani eti hazisomi na hazipo kwenye system/database za Airtel hivyo inabidi usajili laini mpya au uswap laini.
Kinachonishangaza mimi inakuaje laini naitumia tangu 2012 halaf haimo kwenye database za airtel?
Au ni mbinu ya madogo kuuza laini za Airtel?
Mbona laini za voda, tigo zinakubali tu tena nimezitumia zamani kuliko hata hii ya airtel?
Airtel hebu acheni uhuni laini yenu niitumie halafu isiwemo kwenye system yenu?
Tatizo lililojitokeza ni mtandao wa airtel namba zao nyingi zinagoma kusoma kwenye system yao kwamba hazipo.
Akiingiza no. ya simu kwenye mfumo inaandika "No file found" kwamba haipo kabisa.
Mimi laini yangu imegoma kwamba eti haitambuliki nikajua tatzo ni langu pekee kumbe raia kibao pale laini zinagoma kusoma kwamba hazitambuliki na Airtel.
Nimewauliza vijana wanaosajili wanadai kwamba laini za zamani eti hazisomi na hazipo kwenye system/database za Airtel hivyo inabidi usajili laini mpya au uswap laini.
Kinachonishangaza mimi inakuaje laini naitumia tangu 2012 halaf haimo kwenye database za airtel?
Au ni mbinu ya madogo kuuza laini za Airtel?
Mbona laini za voda, tigo zinakubali tu tena nimezitumia zamani kuliko hata hii ya airtel?
Airtel hebu acheni uhuni laini yenu niitumie halafu isiwemo kwenye system yenu?