Ukisema ni illegal sales unakosea it was legal but hoja ni was it the right decision ?
Kitu kingine haukuwa uamuzi wa magufuli ulikuwa ni uamuzi wa Cabinet.
Tofautisha maamuzi yanayofanywa na cabinet na yale yanoyafanywa na waziri. Mfano kuwatimua makandarasi ni uamuzi wa waziri akishawishika wamekiuka badhiya mikataba. Kama kweli aliwafukuza bila kufuaata kanuni sheria tungesikia wizara inaambiwa kulipa fidia kama kwa yaliyotokea kwa Tanesco.
Magufuli ana weakness zake kama binadamu wengine lakini ukimuweka kwenye mzani weka mazuri na mabaya yake
Utagundua kuwa hata ukishindanisha wajinga lazima apatikane wa kwanza. Na ukiambiwa kutafuta wenye nafuu CCM basi ni Magufuli ni mmoja wao.
- How namy Km of Roads zilizojengwa wakati anasimamia wizara
- How many new Houses
- etc
Xuma we expect JF to discuss issues like they have been to school!
Present your facts!
Ukisema ni illegal sales unakosea it was legal but hoja ni was it the right decision ?
Kitu kingine haukuwa uamuzi wa magufuli ulikuwa ni uamuzi wa Cabinet.
Tofautisha maamuzi yanayofanywa na cabinet na yale yanoyafanywa na waziri. Mfano kuwatimua makandarasi ni uamuzi wa waziri akishawishika wamekiuka badhiya mikataba. Kama kweli aliwafukuza bila kufuaata kanuni sheria tungesikia wizara inaambiwa kulipa fidia kama kwa yaliyotokea kwa Tanesco.
Magufuli ana weakness zake kama binadamu wengine lakini ukimuweka kwenye mzani weka mazuri na mabaya yake
Utagundua kuwa hata ukishindanisha wajinga lazima apatikane wa kwanza. Na ukiambiwa kutafuta wenye nafuu CCM basi ni Magufuli ni mmoja wao.
- How namy Km of Roads zilizojengwa wakati anasimamia wizara
- How many new Houses
- etc
Ok uuzwaji haukuwa illegal.
Nyumba walitakiwa kuuziwa watumishi wa umma, je mdogo wake aliyeuziwa wakati sio mtumishi wa umma, na yule kimada wake aliemuuzia/mpa nyumba mitaa ya Ubungo? was that legal.
Tanzanians are very double standard creatures who are driven by emotions rather than objectivity. Magufuli illlegally sold goverment houses, yet if do a survey now people will tell Kikwete got it right when he put him under Ujenzi/ Miundombinu Portfolio. I reallly cant understand the Tanzanians.