Ndugu yangu usiwe na hofu juu ya hili, sisi Wazanzibari tuna-experience ambayo nyie wenzetu wa bongo hamna, Tukipitia chama wasema hawa wanataka kutugawa na kumwambia tendwa wafute na watatusimamisha mara moja. Ila kwenye msikiti nani ataufunga - hayupo na kama wanataka wajaribu tu, wameona Trailer ile 26th na 27th. Sasa sisi hatuna ugomvi na wakristo wala wabara waliopo hapa unguja na pemba - ikiwa hawatoingilia wala kujifanya wao wako kimbelembele kitawakuta kilichompata firauni. Maana saivi hatutanii kwa hili - hadi nchi ipatikane.