Hatutaki Rais hajawahi kulinganishwa na wengine.

Hatutaki Rais hajawahi kulinganishwa na wengine.

Itakuwa ni akili Matope kama CCM itakubali Rais wao awe hajawahi kupimishwa ubavu na Makada wengine.

Umakamu alipata kwa Jinsia, Urais alipata kwa Ajali na sasa Apate kwa kupewa tena, No hii haiwezekani
Hivi wewe unawaamini au unawajua CCM vizuri?
 
Afrika nchi yeyote inaweza ikaongozwa hata na mtoto wa primary...
 
Itakuwa ni akili Matope kama CCM itakubali Rais wao awe hajawahi kupimishwa ubavu na Makada wengine.

Umakamu alipata kwa Jinsia, Urais alipata kwa Ajali na sasa Apate kwa kupewa tena, No hii haiwezekani
Aisee! Ana bahati.
 
Itakuwa ni akili Matope kama CCM itakubali Rais wao awe hajawahi kupimishwa ubavu na Makada wengine.

Umakamu alipata kwa Jinsia, Urais alipata kwa Ajali na sasa Apate kwa kupewa tena, No hii haiwezekani
Mungefanya hivyo kwanza kwa Magufuli.
 
Itakuwa ni akili Matope kama CCM itakubali Rais wao awe hajawahi kupimishwa ubavu na Makada wengine.

Umakamu alipata kwa Jinsia, Urais alipata kwa Ajali na sasa Apate kwa kupewa tena, No hii haiwezekani
Haiwezekani!, yaani hata huu uchaguzi atashindana mwenyewe.., maana mshindani wake yupo jela..,

Huyu bibi ni haram tokea mwanzo! Na matokeo yake ndio hiyo Trillion 107 deni la mama ndani ya miaka mitatu!
 
CCM ondokeni na mtu wenu, Tanganyika inahitaji mtu strong, mwerevu na mwenye hofu ya Mungu.
 
Kama CCM wameona kutoshindanishwa kuna siku watakuja kusikia msoga ndio muhasisi wa chama cha CCM sasa.
 
3E808A66-244E-4E4B-800E-0003B7048A2B.jpeg
 
Back
Top Bottom