dazipozi
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 1,137
- 106
Namshangaa sana wzr wa mambo ya nchi za nje bernad membe ss ha2na ubavu wa kuikataa msaada kama bdo 2nakubli kujengewa vyoo na kupokea chandarua,ha2wezi kuikataa msaada,viongozi we2 wakiugua wnkmblia uingereza wtt wao wanaenda kusoma hko ukiongea lugha yao mjn unaonekana mjanja,bb wa taifa alisema nchi yyte isywza kjtgmea kiuchmi haiwzi kuwa huru,sjui kama 2nakumbka mnno hyo na kuytfkri?tz imshndwa kjtgmea kwa miaka 50,itakuwa huru kwnye maamuzi