Hatumdai mbwana Samata

fimboyaukwaju

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2020
Posts
6,580
Reaction score
9,080
Kila alichomjaalia Mola kakitoa kwa nchi yake.Hatumdai kitu,japo hatujawahi kuwa mabingwa wa Afrika.Asante sana Samata,sasa pumzika ni muda wa vijana
 
Chikola angeaminiwa na kupewa nafasi angeonyesha kitu. Ifikie hatua haya mambo ya kuamini bila huyu au yule timu haiwezi kusonga, tuyaache.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…