eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,227
- 16,178
kazi ya wakala wa chama ktk chumba cha uchaguz ni nini ?
unajua madhara ya mkusanyiko ?.
majibu, + na akili zako.
Wakuu tupige kura hapa, kuonesha kuwa, kura tutazilinda kwa kufuata sheria.
Hatutaogopa washawasha, wala risasi za moto, damu itakayomwagika itaendelea kuwalilia wamwagaji maana mtaimwaga pasipo haki, hamtawamaliza Watanzania, Wataendelea kuwepo.
Hii ni nchi yetu sote.
Bonyeza like kulaani na kupinga kauli za JK kukataza watu kulinda kura.
Hatukati tamaa kwenda kupiga kura nitapiga kura na nitailinda kwa amani.
Naona mnataka kututafutia sababu, mmeanza vitisho vya hapa na pale kwamba, kama tutakaa vituoni mtatuonesha nguvu ya Chama Dola, sasa sisi hatutishiki kwani sheria inaturuhusu na hatuna lengo la kuleta vurugu lengo letu ni kusubiri matokeo mpaka yatakapobandikwa vituoni.
youngsharo
:WAMESHATUGEUZA MAZUZU:
Yaelekea waliloamua ni UBABE UBABE TU!
MOLA TUONDOSHE DUBWANA HILI IN MYSTEROUSLY LIMETUNGANGANA,LINATAKA KUFA NA SISI!