eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,227
- 16,178
Kwanza niseme hatuko tayari kuvunja sheria zilizowekwa japo wakubwa hawa jk NEC na police wamedhamiria kuzivunja sisi vijana tunasema tupo tayari kwa lolote ili mradi sheria za uchaguzi zinafuatwa na si vinginevyo./
Lengo kuu la kukaa mita 200
Ni kulinda mtu yoyote atakaeingia kituoni akiwa na makaratasi ya kura hatutamruhusu kuingia kwa namna yoyote ile tunataka zile za kituoni zibaki hizo hizo hatutaruhusu mtu gari baiskeli pikipiki ziingize chochote kituoni wakati wa zoezi la kupiga kura.
Ndio maana ya kulinda kura
Sio zile zinazopigwa ndani ya kituo
Bali zinazotoka nnje ya kituo
Kwenda kujazilishia
Wakala kazi yake ni ndani na
Sisi wananchi kazi yetu ni kuzuia zile za nnje zisiingie ndani ya kituo
Nasema nitasubiri mita 200 kwa ajili ya kazi hiyo
Hilo bao la mkono mnaloshirikiana na tume halipo
Lengo kuu la kukaa mita 200
Ni kulinda mtu yoyote atakaeingia kituoni akiwa na makaratasi ya kura hatutamruhusu kuingia kwa namna yoyote ile tunataka zile za kituoni zibaki hizo hizo hatutaruhusu mtu gari baiskeli pikipiki ziingize chochote kituoni wakati wa zoezi la kupiga kura.
Ndio maana ya kulinda kura
Sio zile zinazopigwa ndani ya kituo
Bali zinazotoka nnje ya kituo
Kwenda kujazilishia
Wakala kazi yake ni ndani na
Sisi wananchi kazi yetu ni kuzuia zile za nnje zisiingie ndani ya kituo
Nasema nitasubiri mita 200 kwa ajili ya kazi hiyo
Hilo bao la mkono mnaloshirikiana na tume halipo