Eid Mubaraq.............
Jamani nimekuja mjini baada ya kumaliza kazi ya kuvuna kijishamba changu kijijini na kuuza mazao, fasta fasta tuelekezane leo sikukuu tunajumuika wapi??
Hahahahaaah,,,,,,,,,ngoja niprint haya maelekezo ili nisije kupotea. Nakuja mkuu.Oooooh! ur welcome brother, njoo kwetuuu, fanya hivii
Panda gari ya MBAGALA shuka RANGI 3, Panda Hiace zinazokwenda IKWIRIRI shuka KISEMVULE,hapo kuna magari ya mkaa yanayokwenda TUNDWISONGANI omba rift wakushushe NJIAPANDA YA MALELA hapo kodi Bodaboda Mpaka KWAMBONDE ukifika hapo kuna kinjia kinaelekea kushoto nenda nacho mpaka kwenye kimto,vuka mbele kwenye bonde la mpunga fuata njia ya kulia mbele kuna BOMA LA NG'OMBE lipite mpaka kwenye kisima cha NDOO ukikuta watu hapo waulize nyumba ya MZEE MSHINDO MBWELA ipi watakuonyesha ,Usikose kuja ndugu yangu waiting for you!
Hahahahaaah,,,,,,,,,ngoja niprint haya maelekezo ili nisije kupotea. Nakuja mkuu.
kama pm hukujui vile
joooooh! Ur welcome brother, njoo kwetuuu, fanya hivii
panda gari ya mbagala shuka rangi 3, panda hiace zinazokwenda ikwiriri shuka kisemvule,hapo kuna magari ya mkaa yanayokwenda tundwisongani omba rift wakushushe njiapanda ya malela hapo kodi bodaboda mpaka kwambonde ukifika hapo kuna kinjia kinaelekea kushoto nenda nacho mpaka kwenye kimto,vuka mbele hfjhjhkwenye bonde la mpunga fuata njia ya kulia mbele kuna boma la ng'ombe lipite mpaka kwenye kisima cha ndoo ukikuta watu hapo waulize nyumba ya mzee mshindo mbwela ipitj watakuonyesha ,usikose kuja ndugu yangu waiting for you!
mbona sijakuona hadi saa hizi jua ndo linazama ivoo!