Inatakiwa muwe watu kuanzia watano, watatu watakuwa viongozi means Mwenyekiti, Katibu, na muweka hadhina. Hao watu watatu wawe na CV yenye experience ya kuwawezesha kukubaliwa na system. Then tengenezeni katiba ya mchongo mwende nayo kwa afisa maendeleo wa kata mkiwa na muhtasari wa kuanzisha NGO, CV za hao watu watatu, passport size zao, hiyo katiba ya mchongo na barua kutoka serikali ya mtaa.
Then mkipewa barua kutoka kwa afisa maendeleo fast ingia ingia
www.nis.jamii.go.tz.
Huku utaanza usajiri upya, utakuta template ya katiba utakuwa unafanya bubadili tu unavyotaka wew. Watakacho angalia kwa makini ni objectives zako.
Zikiwa clear ndani ya wiki mbili hadi nne tayari watakuwambia njoo na stamp duty moja uchukue cheti chako.
Hope ntakuwa nimetoa msaada unaouhitaji