Nangose 1
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 7,207
- 6,786
- Thread starter
- #21
Sikumaanisha kuwa wahitimu wote wanakuwa hvyo ila hyo ni mojawapo ya impact kubwa ambayo inasababishwa na ukosefu wa ajira kwa wasomi.Yaani hapa ndipo ulipaharibu kabisa hoja yako nzuri. Hivi ina maana ukikosa ajira serikalini unakuwa kibaka au changudoa? Kwa nini unawafunga fikra wahitimu wetu, Je serikali hata ikitengeneza fursa za ajira nyingi iwezekanavyo, inaweza kuajiri wote katika kada zote? Je wakibaki hata 500 tu nchi nzima, ina maana watakuwa majambazi?
Tukija upande wa kuajiri, nimezungumzia japo nusu ya wahitimu maana sidhani kama kuna nchi ambayo inaajiri graduates wote toka vyuon ila japo kiasi Fulani kinachoridhisha itasaidia kuliko hii hali inayoendelea.