Hatimaye Zitto Kabwe akaa meza moja na UKAWA

Hatimaye Zitto Kabwe akaa meza moja na UKAWA

Ubora

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2015
Posts
664
Reaction score
255
Katika mazingira ya kusikitisha wale waliomwita msaliti katika chama wajikuta ghafla wakitoa pongezi kubwa kwake, kwa kuonyesha ushujaa. Zitto Kabwe kwa upande wake amekaliliwa akisema waliokuwa wabaya wake tayari amewasamehe.

View attachment 319821
Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe (kulia) akipeana mkono na Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe.

Siku zote kiburi cha Serekali ya CCM huwa kinakuwa faida kwa upinzani tanzania.

Mtakubumbuka kiburi cha CCM kwenye bunge la katiba,kilizaa Ukawa kwa mara ya kwanza Cuf na CHADEMA wakajoin pamoja.

Hilo limejitokeza tena jana.Mwondelezo wa kibri umefuta tofauti kati ya ACT na CHADEMA Leo nani alitaraji Zitto atakula sahani moja na Lema?

Leo Zitto yupo pamoja tena na mlezi wake wa kisiasa Freeman

Kiburi kimezaa jeuri
 
Wewe mtoa mada unajaribu kuwavunja moyo wabunge wa upinzani. Unataka zitto awe kama wakina Shuibuda, Mrema, cheyo n.k. ushindwe kabisa na ulegee na uwe teketeke.
 
Zitto kweli anahitaji pongezi japo watu kama kina Mnyika na Lissu wanateseka sana kwa ujio wake ukawa
 
Huyo kigeugeu, anacheza kulingana na mdundo wa ngoma.(Nyoka mwenye makengeza)

Huwezi kum'beza Zito ndugu,huyo ni kijana mtumia akili,kua nae ndani ya chama ni faida,walijua kuna siku atakua kuja mwenyekiti wa chama wakampangua kwa visingizio vingi visivyo vya kweli,tuendako huyo kijana akiwa hai atakwezwa na watashushwa waliomdidimiza
 
Huwezi kum'beza Zito ndugu,huyo ni kijana mtumia akili,kua nae ndani ya chama ni faida,walijua kuna siku atakua kuja mwenyekiti wa chama wakampangua kwa visingizio vingi visivyo vya kweli,tuendako huyo kijana akiwa hai atakwezwa na watashushwa waliomdidimiza
sijui umeandika pambio la ibada ya ngapi??
 
Katika mazingira ya kusikitisha wale waliomwita msaliti katika chama wajikuta ghafla wakitoa pongezi kubwa kwake, kwa kuonyesha ushujaa. Zitto Kabwe kwa upande wake amekaliliwa akisema waliokuwa wabaya wake tayari amewasamehe.


ZZK anawategemea sana UKAWA ukubali au ukatae sawa . Kumbuka hata kipindi cha ESCROW ni UKAWA waliompigania CCM ilipomgeuzia kibao, ni Mbowe aliyesimama imara pamoja na UKAWA kuamsha kwaya ndipo kilipoeleweka. ACT mmoja bila UKAWA ni useless
 
Zitto ni jeshi la MTU mmoja, haitaji watu wenye elimu ya hapa na pale.

Na nani?
Usijidanganye Zzk anajua nini anahitaji sasa.Yuko smart kuliko unavyofikiri.Anajua ili hoja zake ziungwe mkono lazima wake meza moja kujadiliana.
Pole kama hawajui wanasiasa nakuonea huruma
 
Back
Top Bottom