- Thread starter
- #21
not good at all,though sijawahi kutumia ila naona wanavyohangaika watumiaji,ni heri kutumia njia za jadi kama kuhesabu kalenda n.k
hamasiha wenzio wasitumie,jana nimskiza bbc nimehuzunika sana,,,,wanawake wanaumia sana kwakweli