Hatimaye wanasayansi wagundua tena tiba/Chanjo ya UKIMWI hivyo sasa hivi ni full kujiachia

Nasikia hata virus mwenyewe hajawahi kuwa isoleted na kuoneka sijui kama ni kweli lakin, pia kama dawa imepatakana hiv kwa huo ugonjwa ulivyotesa dunia kwa muda wote nadhani vipindi vyote vingeahirishwa kwenye vyombo habari na ingebaki kuitangaza dawa tu lakin nashangaa bd nasikia tu pima uanze arv mapema uishi kwa matumain kidogo inanipa wakati mngumu kuamini hili
 
Nilidhani wameleta kinga dhidi ya ajali za anga/barabarani kumbe ukimwi! Ukimwi unauwa mtu mmoja mmoja ila ajali moja inadondoka na watu 30+ kwahiyo sioni haja ya wazungu kuumiza kichwa kutafuta dawa ya hiv!

Wakimaliza wasisahau kutupatia na kinga dhidi ya terrorist maana wakipiga tukio moja wanadondoka na watu 50+
Kinga ya ajali hizo ni hivyo vitu kuacha kutumika mkuu turudi kama zamani kutembea kwa mguu tofauti na hapo zaidi yakuchukua tahadhari na kupunguza ajali hakuna kinga yakufanya ajali isitokee kabisa nikuacha uzembe kwa watumiaji ila za uzembe zisitokee
 
Back
Top Bottom