johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Tunakumbushana tu Makamu wa Rais wa Marekani ameondoka hivyo sasa tunaweza kuendelea na mjadala mkuu wa Hoja za CAG na Ripoti yake.
1. Nani waliongeza cha juu kwenye ununuzi wa Ndege?
2. Nani alikopa Benki 5 na kutoroka
3.Ripoti ya Plea bargain
4. ACT Wazalendo na kodi ya Zuio
5. Hasara ya tsh 88 bilioni za mikopo ya Wanawake, Vijana na Walemavu
Nk...nk
Jumaa kareem!
1. Nani waliongeza cha juu kwenye ununuzi wa Ndege?
2. Nani alikopa Benki 5 na kutoroka
3.Ripoti ya Plea bargain
4. ACT Wazalendo na kodi ya Zuio
5. Hasara ya tsh 88 bilioni za mikopo ya Wanawake, Vijana na Walemavu
Nk...nk
Jumaa kareem!