joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
Hahahaha, dunia kweli inazunguka. Kweli Kenya inaweza kumuacha bwana mkubwa wake Mungu/Mzungu anayemlamba mat*ko na kuikumbatia Tanzania?, kweli njaa ni kiboko.ni juzi tu hapa tumetoka kumfariji jirani kwa masaibu yaliyomkuta.... hivi hata bado hajakauka machozi,,, leo hii unamuambia ''usije kwangu utaniambukiza ujinga''.... hii ni haki kweli???
UK wakae kwa kutulia kwanza, hatutaki kumpandisha presha Mama SSH.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app