Hatimaye UK wamefanya yao baada ya kutusubiri tuchague baina yao na Tanzania

ni juzi tu hapa tumetoka kumfariji jirani kwa masaibu yaliyomkuta.... hivi hata bado hajakauka machozi,,, leo hii unamuambia ''usije kwangu utaniambukiza ujinga''.... hii ni haki kweli???
UK wakae kwa kutulia kwanza, hatutaki kumpandisha presha Mama SSH.
Hahahaha, dunia kweli inazunguka. Kweli Kenya inaweza kumuacha bwana mkubwa wake Mungu/Mzungu anayemlamba mat*ko na kuikumbatia Tanzania?, kweli njaa ni kiboko.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Mbona mnalia mnalia?
Nani amekuambia kwamba tuliwaomba mkopo? Tumepiga hesabu za haraka haraka tukaona kwamba kufungiana border na TZ itatucost zaidi maana tutazuia mizigo za nchi hizi mbili kupita. Uzuri UK haizuii mizigo ya Kenya kuingia, inazuia tu wananchi wa Kenya kuingia lakini biashara inaendelea kama kawaida. Inaendelea kununua chai na maua ya Kenya. So we chose the lesser evil between the two options. Maana nyinyi tunawajua ni vichwa mbaya tukizuia raia wenu kuja huku mtazuia mizigo yetu kuingia TZ kama Magu alivyofanya. Yaani hamna proportionality kabisa. Badala na nyinyi mzuie Wakenya wasije TZ, mnazuia hata na mizigo za Kenya zisije TZ ilhali sisi tulizuia wananchi wenu pekee ila tuliruhusu mizigo zenu kupita.
 
Nani amekuambia kwamba tuliwaomba mkopo? Tumepiga hesabu za haraka haraka tukaona kwamba kufungiana border na TZ itatucost zaidi maana tutazuia mizigo za nchi hizi mbili kupita. Uzuri UK haizuii mizigo ya Kenya kuingia, inazuia tu wananchi wa Kenya kuingia lakini biashara inaendelea kama kawaida. Inaendelea kununua chai na maua ya Kenya. So we chose the lesser evil between the two options. Maana nyinyi tunawajua ni vichwa mbaya tukizuia raia wenu kuja huku mtazuia mizigo yetu kuingia TZ kama Magu alivyofanya. Yaani hamna proportionality kabisa. Badala na nyinyi mzuie Wakenya wasije TZ, mnazuia hata na mizigo za Kenya zisije TZ ilhali sisi tulizuia wananchi wenu pekee ila tuliruhusu mizigo zenu kupita.
Duh umeongea kwa uchungu Sana.
 
Nani amekuambia kwamba tuliwaomba mkopo? Tumepiga hesabu za haraka haraka tukaona kwamba kufungiana border na TZ itatucost zaidi maana tutazuia mizigo za nchi hizi mbili kupita. Uzuri UK haizuii mizigo ya Kenya kuingia, inazuia tu wananchi wa Kenya kuingia lakini biashara inaendelea kama kawaida. Inaendelea kununua chai na maua ya Kenya. So we chose the lesser evil between the two options. Maana nyinyi tunawajua ni vichwa mbaya tukizuia raia wenu kuja huku mtazuia mizigo yetu kuingia TZ kama Magu alivyofanya. Yaani hamna proportionality kabisa. Badala na nyinyi mzuie Wakenya wasije TZ, mnazuia hata na mizigo za Kenya zisije TZ ilhali sisi tulizuia wananchi wenu pekee ila tuliruhusu mizigo zenu kupita.
Yaani Sisi tuko hivi,ukitupiga ngumi moja,Sisi tunakupiga mangumi,mateke na mahedi double double,hatutaki ujinga😎😎😎
 
Nani amekuambia kwamba tuliwaomba mkopo? Tumepiga hesabu za haraka haraka tukaona kwamba kufungiana border na TZ itatucost zaidi maana tutazuia mizigo za nchi hizi mbili kupita. Uzuri UK haizuii mizigo ya Kenya kuingia, inazuia tu wananchi wa Kenya kuingia lakini biashara inaendelea kama kawaida. Inaendelea kununua chai na maua ya Kenya. So we chose the lesser evil between the two options. Maana nyinyi tunawajua ni vichwa mbaya tukizuia raia wenu kuja huku mtazuia mizigo yetu kuingia TZ kama Magu alivyofanya. Yaani hamna proportionality kabisa. Badala na nyinyi mzuie Wakenya wasije TZ, mnazuia hata na mizigo za Kenya zisije TZ ilhali sisi tulizuia wananchi wenu pekee ila tuliruhusu mizigo zenu kupita.
In Tanzania we call it ukiwaga sukuma namwaga ugali ukizuia raia wa Tz sisi tunafanya kitu kikubwa zaidi yako ili kuweka seriousness Tz is like heaven to Kenya so don't estimate our contributions
 
Kwanza nitoe pongezi kwa serikali ya kenya kwa uamuzi wa kuto tekeleza agizo la UK hii ndio inaonyeaha maana ya Taifa Huru lkn vilevile hawa Uk hawana jipya sasa ivi ukitazama nchi kama Rwanda ime comply taratibu zote za covid 19 yaan Kagame ametekeleza kila alilo ambiwa na Wazungu cha ajabu wame mdumbukiza ktk red list hii ndio kudhihirisha ya kuwa KUNA MCHEZO MCHAFU NYUMA YA UGONJWA HUU WA UVICO.

Burundi tangu amefariki raisi wao Nkurunzinza, Pre.Ndayshimeye amejitahidi ku comply taratibu zote za covid 19 lkn wame mdumbukiza ktk Red list.

Sasa kwa ndugu zetu wa Kenya, hapa majuzi raia wengi wankenya wame onyesha wazi wazi kuchoshwa na lockdown na cerfew na wengine pia wame kataa kidungwaa simdano za chanjo. Binafsi huwa siwaelewi lkn ndio hivyo nawaachia wenye taifa lao
 
Back
Top Bottom