Hatimaye UK wamefanya yao baada ya kutusubiri tuchague baina yao na Tanzania

Waingereza ni wanafiki mkiwafuata mtaumia wanachofanyiwa na nchi za EU ndo wanataka kuzifanyia nchi za Africa wao ndo source ya covid mutant 1.1.7! sasa inakuwaje kuanza ku-dictate terms?

Bullocks!

Ila itakuwa wamewanyima mkopo ndo maana Kenya imedinda!

Tony254
 
Geza Ulole Kenya imechagua
Yaani sisi ndio tunaumia kwa sababu ya kuwa na jirani mjinga namna hii. Hio ban tuliopigwa na UK ni kwa sababu sisi ni jirani na nchi kaidi.

Tanzania. Natumai umefurahi. Sijui mbona tumewachagua nyie majirani vichwa mbaya.

Cc joto la jiwe
Hahahaha! Pimbi nyinyi,mna fikiri Sisi tunapelekwa mapunda bila akili,Sisi tuna msimamo na hatubadiliki hata baada ya serikali mpya kuingia madarakani, endeleeni kuwalamba makalio wazungu huku wakiwadhalilisha kiasi hicho!
 
Fight yo fights msilete mambo ya tumewachagua wakati uzungu umewashinda mnaanza piga kelele NAIROBARE lock down itolewe mtakufa wenzenu wamezoea curfew kwasababu ya mazingira yao hasa kipindi cha winta. Huko tropical hasa huko kwenu semi-desert na tomaduni za curfew wapi na wapi
Juzi walitishia kutufungia kisa hatujafunga mipaka na Tanzania, haya sasa wamefanya kweli.....

The British High Commission in Kenya on Friday, April 2, announced that Kenya would be introduced in its red list - banning Kenyan citizens from entering the United Kingdom.

The decision was made after Kenya was categorised as a high-risk country in the spread of the Covid-19 pandemic.

From April 9, British and Irish citizens who have been in or transited through Kenya in the previous 10 days would be declined entry into England unless they undertake a compulsory ten-day quarantine. The same courtesy will be extended to Kenyans who already have residence rights in the UK.

"Irish and third-country nationals with residence rights arriving from these countries will be required to quarantine in a Government-approved facility for 10 days," the High Commission explained.

A photo of an immigration official serves travellers at the Jomo Kenyatta International Airport (JKIA) in Nairobi.

An immigration official serves travellers at the Jomo Kenyatta International Airport (JKIA) in Nairobi.
FILE
Kenya will join Tanzania, Rwanda, Burundi and South Africa, among other countries also listed in the red list travel banned countries.

Kenyans have strongly reacted to the new travel restrictions touching on travelers entering the United Kingdom from Kenya.
"The UK should deal with it's incompetent handling of Covid virus. If we (Kenya) had real leaders here, we should have stopped travel from the UK along time ago. UK is the hotbed of the virus with it's own homegrown variant," one Kenyan stated.

Kenyans blamed President Uhuru Kenyatta for not locking down the country, saying British militia were responsible for bring the virus into the country.

They also questioned the fact that travelers from the UK were exempted from quarantine with the only requirement being a negative Covid-19 test be taken within 96 hours of travel.

"It is crazy how busy we have gotten over the past months. We are full most weekends. A lot of Europeans and Brits are coming down to stay for long periods," the hotel's manager was quoted by British magazine The Independent.

This comes after the British High Commission in Nairobi had been quoted saying Kenya was likely to be added to the red list by March 29, 2021, due to slackness in closing the Tanzanian border.
“For weeks, red list rumors have been circulating Nairobi; a refusal to close borders with neighboring Tanzania, which has not published coronavirus statistics since May 2020, was touted as a key factor,” read a publication by the Telegraph newspaper in Britain.

The move will see travelers quarantine for ten days in Ksh226,971 government-sanctioned hotels.

A plane at a runaway

A plane at a runaway
(COURTESY)
 
Juzi walitishia kutufungia kisa hatujafunga mipaka na Tanzania, haya sasa wamefanya kweli.....

The British High Commission in Kenya on Friday, April 2, announced that Kenya would be introduced in its red list - banning Kenyan citizens from entering the United Kingdom.

The decision was made after Kenya was categorised as a high-risk country in the spread of the Covid-19 pandemic.

From April 9, British and Irish citizens who have been in or transited through Kenya in the previous 10 days would be declined entry into England unless they undertake a compulsory ten-day quarantine. The same courtesy will be extended to Kenyans who already have residence rights in the UK.

"Irish and third-country nationals with residence rights arriving from these countries will be required to quarantine in a Government-approved facility for 10 days," the High Commission explained.

A photo of an immigration official serves travellers at the Jomo Kenyatta International Airport (JKIA) in Nairobi.

An immigration official serves travellers at the Jomo Kenyatta International Airport (JKIA) in Nairobi.
FILE
Kenya will join Tanzania, Rwanda, Burundi and South Africa, among other countries also listed in the red list travel banned countries.

Kenyans have strongly reacted to the new travel restrictions touching on travelers entering the United Kingdom from Kenya.
"The UK should deal with it's incompetent handling of Covid virus. If we (Kenya) had real leaders here, we should have stopped travel from the UK along time ago. UK is the hotbed of the virus with it's own homegrown variant," one Kenyan stated.

Kenyans blamed President Uhuru Kenyatta for not locking down the country, saying British militia were responsible for bring the virus into the country.

They also questioned the fact that travelers from the UK were exempted from quarantine with the only requirement being a negative Covid-19 test be taken within 96 hours of travel.

"It is crazy how busy we have gotten over the past months. We are full most weekends. A lot of Europeans and Brits are coming down to stay for long periods," the hotel's manager was quoted by British magazine The Independent.

This comes after the British High Commission in Nairobi had been quoted saying Kenya was likely to be added to the red list by March 29, 2021, due to slackness in closing the Tanzanian border.
“For weeks, red list rumors have been circulating Nairobi; a refusal to close borders with neighboring Tanzania, which has not published coronavirus statistics since May 2020, was touted as a key factor,” read a publication by the Telegraph newspaper in Britain.

The move will see travelers quarantine for ten days in Ksh226,971 government-sanctioned hotels.

A plane at a runaway

A plane at a runaway
(COURTESY)
Hii imewauma wakenya Sana,najua huko twitter wamejaza server kwa mapovu
 
Ndio mjue kwamba bila Tanzania Kenya haiwezi kufanya lolote, punguzeni ujuaji mwingi Tanzania ndio nchi muhimu zaidi kwa Kenya hapa duniani

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Aaa wapi, Tz hampo hata kwenye orodha ya Top 10 partners wa Kenya kibiashara. Cha ajabu ni kwamba Uganda wapo, Kenya huwa inatazama masuala kama haya kibiashara zaidi, sio kiuswahili swahili wa sijui kupendana na vitu kama hivyo ambavyo havina tija.

UK wenyewe sasa hivi wamebanwa na majirani wao wote ndani ya EU, kisa COVID. Kwahivyo kwa sasa hawana umuhimu sana kwa nchi ya Kenya.
 
Hii imewauma wakenya Sana,najua huko twitter wamejaza server kwa mapovu
Wakenya hawana huo muda. Mzee ambaye alikuwa na chuki na nchi ya Kenya, hadi akatia moto vifaranga vikiwa hai hayupo tena.
Alafu vipi kuhusu hao hao UK na kwamba wao ndio wanaongoza kwa uwekezaji nchini Tz? Au huwa mnakumbuka kwamba ni mabeberu linapoibuka suala ambalo linahusu nchi ya Kenya?
 
Waingereza ni wanafiki mkiwafuata mtaumia wanachofanyiwa na nchi za EU ndo wanataka kuzifanyia nchi za Africa wao ndo source ya covid mutant 1.1.7! sasa inakuwaje kuanza ku-dictate terms?

Bullocks!

Ila itakuwa wamewanyima mkopo ndo maana Kenya imedinda!

Tony254
Nani amekuambia kwamba tuliwaomba mkopo? Tumepiga hesabu za haraka haraka tukaona kwamba kufungiana border na TZ itatucost zaidi maana tutazuia mizigo za nchi hizi mbili kupita. Uzuri UK haizuii mizigo ya Kenya kuingia, inazuia tu wananchi wa Kenya kuingia lakini biashara inaendelea kama kawaida. Inaendelea kununua chai na maua ya Kenya. So we chose the lesser evil between the two options. Maana nyinyi tunawajua ni vichwa mbaya tukizuia raia wenu kuja huku mtazuia mizigo yetu kuingia TZ kama Magu alivyofanya. Yaani hamna proportionality kabisa. Badala na nyinyi mzuie Wakenya wasije TZ, mnazuia hata na mizigo za Kenya zisije TZ ilhali sisi tulizuia wananchi wenu pekee ila tuliruhusu mizigo zenu kupita.
 
Nani amekuambia kwamba tuliwaomba mkopo? Tumepiga hesabu za haraka haraka tukaona kwamba kufungiana border na TZ itatucost zaidi maana tutazuia mizigo za nchi hizi mbili kupita. Uzuri UK haizuii mizigo ya Kenya kuingia, inazuia tu wananchi wa Kenya kuingia lakini biashara inaendelea kama kawaida. Inaendelea kununua chai na maua ya Kenya. So we chose the lesser evil between the two options. Maana nyinyi tunawajua ni vichwa mbaya tukizuia raia wenu kuja huku mtazuia mizigo yetu kuingia TZ kama Magu alivyofanya. Yaani hamna proportionality kabisa. Badala na nyinyi mzuie Wakenya wasije TZ, mnazuia hata na mizigo za Kenya zisije TZ ilhali sisi tulizuia wananchi wenu pekee ila tuliruhusu mizigo zenu kupita.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 haaahaahh 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 heheheheheeee
umeamua utoe ya moyoni kabisa
 
Acheni ujinga Kenya mlipaswa kufunga mpaka na UK Corona iko huko wanakufa mania kwa siku huko.east Africa kwa siku hakuna vifo hata 20.
Wamesaidia kutosambazia Corona.
 
Aaa wapi, Tz hampo hata kwenye orodha ya Top 10 partners wa Kenya kibiashara. Cha ajabu ni kwamba Uganda wapo, Kenya huwa inatazama masuala kama haya kibiashara zaidi, sio kiuswahili swahili wa sijui kupendana na vitu kama hivyo ambavyo havina tija.

UK wenyewe sasa hivi wamebanwa na majirani wao wote ndani ya EU, kisa COVID. Kwahivyo kwa sasa hawana umuhimu sana kwa nchi ya Kenya.
Hahahaha,, kwa hiyo kati ya UK na Tanzania mumeamua kuchagua Tanzania sio?. Wewe tatizo lako ni uelewa mdogo wa mambo, Tanzania ni muhimu kwa Kenya kuliko nchi yoyote, wacha kifikiria biashara pekee, fikiria mambo ya msingi kwa wakenya,.

Kenya mnafanya biashara na UK kwa bidhaa ambazo sio muhimu, kama maua na chai, wakati Kenya inategemea chakula na "raw materials" toka Tanzania, japo bidhaa za Tanzania ni low values, lakini ni muhimu kwa maisha na viwanda vya Kenya.

Pia Kenya inaitegemea Tanzania ili kupitisha bidhaa zake kufikia masoko ya nchi za kusini mwa Africa,

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Wakenya hawana huo muda. Mzee ambaye alikuwa na chuki na nchi ya Kenya, hadi akatia moto vifaranga vikiwa hai hayupo tena.
Alafu vipi kuhusu hao hao UK na kwamba wao ndio wanaongoza kwa uwekezaji nchini Tz? Au huwa mnakumbuka kwamba ni mabeberu linapoibuka suala ambalo linahusu nchi ya Kenya?
Wacha kupoteza mada, linalozungumzwa ni vipi kati ya UK na Tanzania, Kenya imeamua kuichagua Tanzania na kuachana na Mungu wake wa miaka mingi?, kweli Tanzania ni baba Lao

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Nani amekuambia kwamba tuliwaomba mkopo? Tumepiga hesabu za haraka haraka tukaona kwamba kufungiana border na TZ itatucost zaidi maana tutazuia mizigo za nchi hizi mbili kupita. Uzuri UK haizuii mizigo ya Kenya kuingia, inazuia tu wananchi wa Kenya kuingia lakini biashara inaendelea kama kawaida. Inaendelea kununua chai na maua ya Kenya. So we chose the lesser evil between the two options. Maana nyinyi tunawajua ni vichwa mbaya tukizuia raia wenu kuja huku mtazuia mizigo yetu kuingia TZ kama Magu alivyofanya. Yaani hamna proportionality kabisa. Badala na nyinyi mzuie Wakenya wasije TZ, mnazuia hata na mizigo za Kenya zisije TZ ilhali sisi tulizuia wananchi wenu pekee ila tuliruhusu mizigo zenu kupita.
Hivi siku hizi wakenya hamuogopi kuambukizwa Corona toka Tanzania badala yake mnaogopa zaidi kufungiwa biashara na Tanzania?

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
ni juzi tu hapa tumetoka kumfariji jirani kwa masaibu yaliyomkuta.... hivi hata bado hajakauka machozi,,, leo hii unamuambia ''usije kwangu utaniambukiza ujinga''.... hii ni haki kweli???
UK wakae kwa kutulia kwanza, hatutaki kumpandisha presha Mama SSH.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom