Kile kituo chetu cha redio imaani a.k.a elimu bila mipaka au sauti ya waislamu, kinatagemea kurudi hewani tar.28 mwezi huu kwani ndiyo mwisho wa kifungo chake...hivyo waislamu wote na wapenzi wake wote tukae mkao wa kula kwa vipindi motomoto
mimi sio muislam lakini napenda kuisikiliza wakati mwingine ina mawaidha mazuri sana.
cc: marafiki zangu Adam Almas, Bedori, Jamali, Amina, Mzamiru wote wakiwa ar majengo ya chin najua nu habari njema hizi kwao.