Dual/Mbili.Sorry mdau inatumia SIM card ngapi?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Highlife wanauza 500K 60k ungekunywa Supu.Ahaa!, kwasasa hakuna warranty maana hizi simu bado hazijaja officialy kwenye maduka ya Samsung.
Ni yale matolea ya India ambayo yamekuja kwa njia za Panya
Kwakua mm ntakuwa hapa mwanza kwa wiki 2, nimekubaliana na muuzaji hapa rocky city mall Endapo ikipa hitilafu ntarudisha au
Nikirudi Dar wana maduka yao mlimani city ntapeleka huko.
Yaani nimechukua kama kujitoa muhanga vile... hadi sasahiv sijapata tatizo lolote.
Wacheck HIGHLIFE wanauza 350k au Agiza mwenyewe Ebay tu.mimi nahitaji M10 kwa aliyepo dar aniambie zinapatikana wapi
Highlife wanauza 500K 60k ungekunywa Supu.
highlife nawapata vipi? alafu wanapata faida sana, imagine simu inauzwa usd 100 lakini wanauza 350000?, hizi biashara za ebay huwa naziogopa sanaWacheck HIGHLIFE wanauza 350k au Agiza mwenyewe Ebay tu.
+255717233555 hao au wacheck insta na FBhighlife nawapata vipi? alafu wanapata faida sana, imagine simu inauzwa usd 100 lakini wanauza 350000?, hizi biashara za ebay huwa naziogopa sana