Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 61,023
- 36,891
Mbona ndege kama daladala la kwenda Gongo la Mboto au Mbagala?
Watu full kusimama.
Watanzania hawajui mbinu za kibiashara,
ni hatari sana kuwatangazia wateja wako kuwa ndege yako ni mbovu ilhali ni nzima.
Utajikuta unapoteza wateja na ndege zako zikaambulkia kupewa jina la mkweche wakati ni mpyaaaaaa uliziiingiza juzi kwa mbwembwe kutoka Ufaransa
naona kama watu wameshikilia chuma ama macho yangu jamani mnasimamisha abiria ??haahaaa
Nini PW NASIKIA BRITISH AIRWAYS IMEPAKI TOKA ASBH HOTL ZIMEJAA WATU KUFA MTU