Don san tan
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 562
- 433
Watu wameteseka weee na wengine wamepoteza maisha eti sasa ndiyo anaenda kuwapa pole, kafungua mwaka vibayaKAGERA
leo Rais wa
Jamhuri wa Muungano Mh. John Pombe
Magufuli anategemewa kuwasili mkoani
humo kwa ziara ya siku mbili yenye
lengo la kuwatembelea wananchi
walioathirika na tetemeko la Ardhi lakini
pia kuzindua na kuweka mawe ya msingi
katika miradi kadhaa ya maendeleo
ambayo yaliathiriwa kutokana na
tetemeko hilo mkoani humo.
Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali
Mstaafu Salum Mstapha jana alisema
Rais ataingia asubuhi ya leo akitokea
Geita na baadaye atahudhuria ibada ya
misa na kesho yake ndiyo
atawatembelea baadhi ya wananchi
waliotumia nguvu zao kujenga nyumba
zao na makazi baada ya kuharibiwa na
tetemeko la Ardhi kisha atatembelea
miradi ya ujenzi wa shule ya Sekondari
ua Ihungo na kuweka jiwe la msingi na
kuzungumza na wananchi.
Amechelewa SizonjeKAGERA
Leo Rais wa Jamhuri wa Muungano Mh. John Pombe Magufuli anategemewa kuwasili mkoani
humo kwa ziara ya siku mbili yenye lengo la kuwatembelea wananchi walioathirika na tetemeko la Ardhi lakini pia kuzindua na kuweka mawe ya msingi katika miradi kadhaa ya maendeleo ambayo yaliathiriwa kutokana na
tetemeko hilo mkoani humo.
Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu Salum Mstapha jana alisema Rais ataingia asubuhi ya leo akitokea Geita na baadaye atahudhuria ibada ya misa na kesho yake ndiyo atawatembelea baadhi ya wananchi waliotumia nguvu zao kujenga nyumba
zao na makazi baada ya kuharibiwa na tetemeko la Ardhi kisha atatembelea miradi ya ujenzi wa shule ya Sekondari ya Ihungo na kuweka jiwe la msingi na kuzungumza na wananchi.