kwahiyo watu kufa ni sawa sio?Mnashangilia wakati wenzenu tayari wameshapata kipondo na wengine wamepoteza maisha! Ama kweli watu hamnazo kabisa.
Nyie mnaoshabikia machafuko hayo mnajua madhara ya kufanya biashara mitaani bila kuwa na sehem maalum?kwanza mwny biashara hawezi kupata mkopo kirahs koz alipo ni barabaran,kumbukeni pale kariakoo kongo,pili govt inakosa mapato tatu uhalifu unaongezeka na 4 unplaned city...acheni ushabiki usio na maana.mbeya haina rais coz ule ni mkoa ambao ni sehem ya tanzania na rais wa tz ni jakaya kikwete.
Nyie mnaoshabikia machafuko hayo mnajua madhara ya kufanya biashara mitaani bila kuwa na sehem maalum?kwanza mwny biashara hawezi kupata mkopo kirahs koz alipo ni barabaran,kumbukeni pale kariakoo kongo,pili govt inakosa mapato tatu uhalifu unaongezeka na 4 unplaned city...acheni ushabiki usio na maana.mbeya haina rais coz ule ni mkoa ambao ni sehem ya tanzania na rais wa tz ni jakaya kikwete.
Wananchi wa Mbeya kweli wamechanganyikiwa. Sugu kweli wameamua kumtambua kama raisi wao!!!......
Nyie mnaoshabikia machafuko hayo mnajua madhara ya kufanya biashara mitaani bila kuwa na sehem maalum?kwanza mwny biashara hawezi kupata mkopo kirahs koz alipo ni barabaran,kumbukeni pale kariakoo kongo,pili govt inakosa mapato tatu uhalifu unaongezeka na 4 unplaned city...acheni ushabiki usio na maana.mbeya haina rais coz ule ni mkoa ambao ni sehem ya tanzania na rais wa tz ni jakaya kikwete.
INAUMA! umeukalia mwenyewe kama inauma nyanyuka eebo! ukiongea mtoto wa kiume usibane pua, waagiza sukari wasamehewe kodi wauza bamia ndiyo wawe tegemeo la pato la taifa kwa kodi, dhahabu ilipaswa kugharimia bajeti ya maendeleo wasema wachuuza mnafu vifungu vitatu ndio wanunue vifaru kwa ulinzi wa nchi yetu! vodacom, aitel, tigo, zantel, sasatel .... mpesa, tigopesa, zpesa ..... zingekuwa chanzo sahihi cha mapato kugharimia elimu, afya n.k. unataka wachuuza mbilimbi na hoho ndo wakamuliwe! unakameruniwa wewe siyo bure. we cant relay on trivial income while potential ones roms uncollected.
Muda huu mbunge wa chadema sugu ametangaza machnga wote kuendelea na biashara baada ya magigano ya siku mbili bahina ya machinga na police. Baada ya kikao kirefu kati ya mkuu wa mkoa, rpc,mbunge,mkurungenzi. Mambo yapo swari na vijana wanashangilia barabara nzima kwa maandamano ya amani........ Hii ni habari njema kwakweli.
Jina la nchi= MBEYA
Jina la rais = Joseph Mbilinyi (Sugu)
Mnashangilia wakati wenzenu tayari wameshapata kipondo na wengine wamepoteza maisha! Ama kweli watu hamnazo kabisa.
Mkong'oto ulishawatuliza zamaani. Sugu kapata pakutokea.
Mnashangilia wakati wenzenu tayari wameshapata kipondo na wengine wamepoteza maisha! Ama kweli watu hamnazo kabisa.
Kweli Sugu ni rais wa Mbeya watu ni wengi sana msiache kuangalia Itv.