Hatimaye Masanja Mkandamizaji amvika pete mchumba wake

barafu

JF-Expert Member
Apr 28, 2013
6,739
32,874
image.jpeg




Hii imetokea kwenye ibada katika kanisa la miito ya Baraka Jangwani Dsm
Mchekeshaji, Muhubiri na Mshereheshaji Masanja Mkandamizaji amvisha pete mke wake mbele ya macho ya Mwakibolwa.
 
Ongera zako Masanja,kama na wewe unapitaga humu
chukua ushauri huu ukusaidie.
Mastar wengi kupata mchumba,kuoa au kufanya harusi kubwa
sio tatizo maana pesa ipo.Kinachowashinda wengi ni kuishi
na wake zao kwa amani baada ya ndoa.

Kwa kuwa wewe ni mtumishi,onyesha kwa vitendo
uwe mfano bora kwa wengine,kwamba maigizo mwisho
ni mlangoni,ndani ya nyumba ni mtu na mke wake
Mungu awajarie maisha mema katika uchumba na baadaye
kwenye ndoa yenu.
 
Uzuri uko machoni pa muangaliaji.

By the way, siku hizi watu huangalia personality ya mtu na sio physical appearance.

Hatuoi makalio na sura nzuri bali UTU & ADABU.
mpendwa utatuweza binadamu, huyo dada ana ubaya gani? Yupo simple mno binti wa watu, hana complications afu yupo natural eti. Tatizo watu walitegemea sijui awe zile type za bongo movies lol, Masanja anajua kwa nini of all ladies aliokutana nao kwenye maisha yake kamchagua huyo.
 
Wanawake hupenda sana nyimbo yaani mameno mazuri na mengi kwa hiyo huyo manamke taburudika.

Wanaume wanapenda sana kutiiwa na kunyenyekewa hawataki maneno yao kupinduliwa pinduliwa au kuhojiwa kwa ukali. Ukitaka kumpoteza mume kuwa unamhojihoji tena kwa hasira uone! Bila shaka Masanja amegundua hilo kwa huyo mwenza. Kwa hiyo watadumu
 
Back
Top Bottom