Gap imeshakuwa kubwa brother....,Istoshe ukimuuliza sentensi chache amjuaje magufuli unaweza kushangaaa.
Mama Maria ametoka London last week kwa medical check up. Unategemea nini? Kwamba atachukua microphone na kusema CCM zii. ?Makongoro pia. Anakula kuku kwa mrija kwa ajili ya CCM. Mimi sasa hivi nafikria kwamba CCM itashinda. Please note sijasema nataka CCM ishinde. Nasema tu nadhani CCM itashinda.
Kwa mara ya kwanza leo nimemuona huyu mama kwenye tv anashawishi et watanzania wampigie kura Pombe. Nimemchukia ghafla. Alitakiwa awe neutral mbele ya public kuhusu hili la uchaguzi. Abakie mama wa taifa na si mama wa ccm. To hell ccm.
CCM tayari wameshatengeneza video ya mama Maria Nyerere akiwaomba akina mama wotewampigie kura Magufuli. Video hii iko inasambaa Whatsup.
Kaongea mengi kuwa ni mchapa kazi na Mwadilifu. Swali langu kwa bibi angu mama Maria, ikiwa CCM itashindwa, heshima yote tunayokupa sisi wananchi itakuwaje? Maana yake wote watakaoongoza rohoni mwao watakuwa wanajua kabisa hukuwapenda ila basi.
Ni bora mama ungebaki neutral. Na ungejikita kutuombea tuchaguane kwa Amani ili uendeleee kuwa Mama wa Taifa.
Ila tutasamehe tukiamini imekulazimu, maana hakuna jinsi.
Duh! Kweli muda si rafiki ... Leo watanzania wamemtolea uvivu hata huyu mama?!
Huyu mama anafikiri ccm hii ni ile ya nyerere...hii imeshaoza inasubiri kuchinjwa trh 25
Anachofanya Mama Maria Nyerere wazungu wanaita She is playing a BAD CARD!