Hatimaye maduka yafunguliwa tena Dodoma

Hatimaye maduka yafunguliwa tena Dodoma

LIWALONALIWE

Member
Joined
Jul 29, 2012
Posts
69
Reaction score
18
Siku kadhaa zilizopita waziri wa fedha alifunga maduka kadhaa mjini Dodoma,Lakini baada ya wafanyabiashara hao kuwasiliana na viongozi wa umoja wa wafanyabiashara wa mkoa viongozi hao waliwasiliana na TRA na maduka yakafunguliwa siku ya pili yake bila kuwa na vifaa vya EFD.

Hii inamaanisha nini..?
 
Back
Top Bottom