Ahsant mungu, uchaguzi huu mungu kaamua aufatilie, ndio maana akatuchagulia mtu(Lowasa) kwa ccm huwezi kunidanganya! kwa kampeni ya kunichimbia visima badala ya mabomba,kunichongea barabara za vumbi badala ya lami,kushangaa dawa zikiuzwa nje ya hospital,ahsant Mungu