Lowasa aliiba sana akiwa kwenye serikali kwahiyo anapambana ili akalinde maslahi yake na mafisadi wenzake.
Nakiufupi haupati urais hata kwa dawa juha yule, kawanunua majuha wenzie si woteunataka fisadi aingie ikulu ili iweje hatutaki huo ufisadi kafanyeni na mafisadi wenzenu.
Lowasa mwenyewe katika nyakati tofauti kwenye mikutano yake kaonekana kachoka sana kufikia hatua ya kusinzia, hawezi kubeba jukumu zito kama hilo, isitoshe hana agenda mahususi za kulikomboa taifa hili.
LOWASA ABOMOA HADHI YA CHADEMA:
Mgombea wa nafasi ya uraisi ndio kiini cha kampeni katika chama husika,Kwa mara ya kwanza,taifa la tanzania linashuhudia maajabu ya mgombea wa nafasi ya urais kupitia umoja wa ukawa Ndg:E.lowasa akipigiwa debe kwa asilimia 97% na wapambe wake badala ya kujinadi mwenyewe.
Katika wagombea nafasi ya urais waliojitokeza mwaka huu 2015,Bw. Lowasa ni ni mgombea pekee ambae ameonyesha udhaifu mkubwa kwa kushindwa hata kujibu shutuma dhidi yake,kueleza sera za chama kwa ufasaha,amekuwa mgombea ambae kwa kiasi kikubwa anatetewa kwa kila jambo na wapambe wake badala ya kujitetea mwenyewe.
Tathimini inayoonekana ni kwamba Chama cha CHADEMA kwa sasa kimepoteza misimamo yake juu ya hoja za upingaji masuala ya ufisadi na rushwa.Agenda hizi zilikuwa zikiibeba kwa kiasi kikubwa chama hicho kiasi hata cha kuweza kupata wabunge wa kutosha bungeni na kuunda kambi ya upinzani kipindi cha bunge la 2010/15. Kupitia ajenda hizo ndipo wakina Mnyika,lisu,msigwa,lemawaliweza kujulikana kwa uhodari wao wa kuongea.Tujiulize wako wapi sasa makamanda hao na kauli zao?
Kwa sasa Chadema wamekuwa kama wakiwa baada ya kuukumbatia ufisadi,chama kimekuwa bubu kiasi cha kinashindwa hata kuzungumza uzaifu wa mgombea wao na juu ya hali yake kiafya ilhali hata kwa macho anaonekana.Watanzania tujiulize?kipi kilichojificha juu ya suala hilo?ni kweli lowasa alitoa fedha kwa mbowe kununua chama ili agombee urais?nini anakiitaji huko ikulu?
Kama wapiga debe wake ndio wenye mamlaka kiasi cha kuzungumza mambo juu yake,akiwa rais nani atakaeongoza nchi?
Kwa dalili hizi lowasa anafaa kweli kupewa nchi?T
Afakari mpiga kura.
kwani Lowasa siyo fisadi?
Mkuu sisi tunataka sera sio tuhuma kama tuhuma kwasasa angekua kashitakiwa. Duuuuu!!!!! Kweli kazi ipo wabongo sera zavyama amuandi mnaandika tu mtu. Ss tupeni sera sio mtu. Chama nitahasisi sio mtu mumoja.
Kama kaandika upuuzi, ungetakiwa umjibu kwa hoja. Lowassa si fisadi na haumwi hata kidogo anasingiziwa. Na amekimbia ufisadi ccm. Ni mfano ungemwambia na sifa kemkem ili uonyeshe kweli lowasa anafaa bila kukimbilia eti upuuzi mtupu.Umeandika upuuzi mtupu. Ukiwa vitani unatumia silaha yotote inayokufaa kwa wakati huo
achakukalilishwa kama kasuku wewe uffisadi kaiba wapi na shilingi ngapi?ukisikia watu wanaimba na wewe una anzakuimba kama kasuku.unataka fisadi aingie ikulu ili iweje hatutaki huo ufisadi kafanyeni na mafisadi wenzenu.
Umetombwa vingapi leo wewe dada? Naona buzi lako halijakupa hata cent ndo umekuja na hangover hapa pumbavu wewe! Si mmesema kuwa mtashinda kwa kishindo sasa kelele za nini? Sisi hata ikigombea maiti tutaichagua tu,unadhani kupiga kelele jukwaani ndo maendeleo? Nyie mbwa koko wa ccm mmepiga kelele jukwaani miaka 54 hadi leo mmefanya maendeleo gani? Sasa hivi nitakuwa nawatukana tu maana hakuna namna tena!