Ni haki yake kutoa maoni yake. Lakini atambue si kila anachosema kinapata uungwaji mkono na watu wote...Mimi ni mmoja wapo ninayemwona kama mtoa post na aliyemnukuu wote wamekengeuka!.Huku akiongea kwa ' Kufoka ' kama kawaida yake na akitawaliwa na ' Hasira ' zake za Kimachame aliyewahi kuwa Msemaji wa Klabu ya Omba Omba Bakuli FC ( Yanga ) na sasa akiwa ni Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mheshimiwa akizungumza TBC Taifa kupitia Mtangazaji wake Jesse John ameamua Kuvunja ukimya na ' Kutapika ' nyongo dhidi ya Klabu yake hiyo, Viongozi wake, Kocha wake na Msemaji wake.
Akiwa pia amekubali mwenyewe kuvalia Jezi ya Mnyama Mnyamani ( Timu ya Mwenyezi Mungu na iliyobarikiwa nae ) ya Simba SC huku akiitama ikicheza Kandanda safi kabisa na Kuifunga Timu ya African Lyon katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Kaluta leo Mheshimiwa Jerry Muro aliamua kusema haya maneno yake ambayp nitayanukuu hapa moja kwa moja bila kuongeza wala kupunguza chochote kile.
Nukuu # 1. " Tusidanganyane Yanga hakuna Viongozi sasa bali kuna Wajanja Wajanja tupu na kamwe tusitegemee makubwa kutoka Kwao "
Nukuu # 2. " Yanga haina Kocha bali ina Mhamasishaji tu na Mtu ambaye amewashika akili Watu wachache kwa Kujifanya anachangia Pesa zake huku akiwa hakuna chochote anachokifundisha na amekuwa ni Msemaji zaidi zaidi ya Mwalimu "
Nukuu # 3. " Mimi Jerry Muro ndiye niliweza kuleta Hamasa kwa Mashabiki na Wapenzi wa Yanga hadi wakawa na mwamko na Timu yao lakini cha Kushangaza huyu Msemaji wa sasa niliyedhani kuwa ataweza kuvaa vizuri Viatu vyangu naona vimempwaya kabisa na anafanya Yanga inyanyasike mno na Msemaji wa Simba Kaka yangu Haji Manara "
Nukuu # 4. " Mimi ni Yanga tena lialia kama siyo kindakindaki kabisa ila sitaki kuwa Mnafiki na ukweli ni kwamba Simba wako vizuri, wamesajili Kiufundi kabisa na watafanya vyema kabisa kwani wanajua nina wanachokifanya kwakuwa wana Watu makini "
Nukuu # 5. " Yanga ina mengi sana ya Kuiga na Kujifunza kutoka kwa Simba na hili wala tusijifiche au tusijifanye hatuoni. Wenzetu wameshatutangulia na kupiga hatua za Kimaendeleo na Sisi tunabaki tu kutembeza Bakuli kila Siku hii ni aibu "
Nukuu # 6. " Kwa aina ya Kikosi kile cha Simba kilichosheheni Mafundi watupu ni Mjinga na Mpumbavu tu pekee ndiyo angejua kuwa mechi ya juzi Yanga tusingefungwa na kuna uwezekano Wachezaji wa Simba walituonea huruma kwani walikuwa na uwezo hata wa Kutupiga / Kutufunga Goli 5 na zaidi ila waliamua Kutusitiri tu Watani zao tusiumbuke "
Nukuu # 7. " Mashabiki wa Yanga nao hawaeleweki kwani wanaenda Uwanjani kwa ' Kubipu ' tofauti na wenzao wa Simba ambao kiukweli nawasifu mno kwakuwa wamekuwa bega kwa bega na Timu yao na wanaishangilia muda wote tofauti na Wetu ambao huwa kimya utadhani ni Wakiwa "
Hongera sana na mno Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Jerry Muro kwa kuamua ' Kunyoosha ' maelezo yako hivi. Wenye akili na wanaojua mpira wamekusikia. Binafsi huwa napenda sana Watu wawazi na wakweli kama hivi Wewe na wenye tabia hii kama yako ya ' Kunyoosha ' maelezo bila Kupepesa macho, Kutikisa masikio na Kumung'unya maneno tupo wachache hapa duniani.
Nawasilisha.
Well said mkuu,Nina uhakika Yanga itapitia wakati mgumu sana pia kama huyu kocha akitikiswa .. to be honest, kinachoibeba yanga kwa sasa ni spirit ya Zahera ila kiuchumi wako dhooful hali.Mi ni mpenzi wa Simba, ila kinachofanyika kwa Yanga ni siasa za uhasama, the government is against Yanga, bifu ya Manji na mkulu inaihumiza Yanga, kila kiongozi wa kisiasa anataka aonekane yuko against na Yanga ili kumipress mkulu, siasa na michezo havijawahi kufanya kazi pamoja
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi ni mpenzi wa Simba, ila kinachofanyika kwa Yanga ni siasa za uhasama, the government is against Yanga, bifu ya Manji na mkulu inaihumiza Yanga, kila kiongozi wa kisiasa anataka aonekane yuko against na Yanga ili kumipress mkulu, siasa na michezo havijawahi kufanya kazi pamoja
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati akizungumza hayo alikuwa tayari ameshakunywa mbege, hivyo tunamsamehe ila aendelee na kazi yake kama mkuu wa wilaya na atuachie na yanga mbovu ambayo ni ya wananchi.Huku akiongea kwa ' Kufoka ' kama kawaida yake na akitawaliwa na ' Hasira ' zake za Kimachame aliyewahi kuwa Msemaji wa Klabu ya Omba Omba Bakuli FC ( Yanga ) na sasa akiwa ni Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mheshimiwa akizungumza TBC Taifa kupitia Mtangazaji wake Jesse John ameamua Kuvunja ukimya na ' Kutapika ' nyongo dhidi ya Klabu yake hiyo, Viongozi wake, Kocha wake na Msemaji wake.
Akiwa pia amekubali mwenyewe kuvalia Jezi ya Mnyama Mnyamani ( Timu ya Mwenyezi Mungu na iliyobarikiwa nae ) ya Simba SC huku akiitama ikicheza Kandanda safi kabisa na Kuifunga Timu ya African Lyon katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Kaluta leo Mheshimiwa Jerry Muro aliamua kusema haya maneno yake ambayp nitayanukuu hapa moja kwa moja bila kuongeza wala kupunguza chochote kile.
Nukuu # 1. " Tusidanganyane Yanga hakuna Viongozi sasa bali kuna Wajanja Wajanja tupu na kamwe tusitegemee makubwa kutoka Kwao "
Nukuu # 2. " Yanga haina Kocha bali ina Mhamasishaji tu na Mtu ambaye amewashika akili Watu wachache kwa Kujifanya anachangia Pesa zake huku akiwa hakuna chochote anachokifundisha na amekuwa ni Msemaji zaidi zaidi ya Mwalimu "
Nukuu # 3. " Mimi Jerry Muro ndiye niliweza kuleta Hamasa kwa Mashabiki na Wapenzi wa Yanga hadi wakawa na mwamko na Timu yao lakini cha Kushangaza huyu Msemaji wa sasa niliyedhani kuwa ataweza kuvaa vizuri Viatu vyangu naona vimempwaya kabisa na anafanya Yanga inyanyasike mno na Msemaji wa Simba Kaka yangu Haji Manara "
Nukuu # 4. " Mimi ni Yanga tena lialia kama siyo kindakindaki kabisa ila sitaki kuwa Mnafiki na ukweli ni kwamba Simba wako vizuri, wamesajili Kiufundi kabisa na watafanya vyema kabisa kwani wanajua nina wanachokifanya kwakuwa wana Watu makini "
Nukuu # 5. " Yanga ina mengi sana ya Kuiga na Kujifunza kutoka kwa Simba na hili wala tusijifiche au tusijifanye hatuoni. Wenzetu wameshatutangulia na kupiga hatua za Kimaendeleo na Sisi tunabaki tu kutembeza Bakuli kila Siku hii ni aibu "
Nukuu # 6. " Kwa aina ya Kikosi kile cha Simba kilichosheheni Mafundi watupu ni Mjinga na Mpumbavu tu pekee ndiyo angejua kuwa mechi ya juzi Yanga tusingefungwa na kuna uwezekano Wachezaji wa Simba walituonea huruma kwani walikuwa na uwezo hata wa Kutupiga / Kutufunga Goli 5 na zaidi ila waliamua Kutusitiri tu Watani zao tusiumbuke "
Nukuu # 7. " Mashabiki wa Yanga nao hawaeleweki kwani wanaenda Uwanjani kwa ' Kubipu ' tofauti na wenzao wa Simba ambao kiukweli nawasifu mno kwakuwa wamekuwa bega kwa bega na Timu yao na wanaishangilia muda wote tofauti na Wetu ambao huwa kimya utadhani ni Wakiwa "
Hongera sana na mno Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Jerry Muro kwa kuamua ' Kunyoosha ' maelezo yako hivi. Wenye akili na wanaojua mpira wamekusikia. Binafsi huwa napenda sana Watu wawazi na wakweli kama hivi Wewe na wenye tabia hii kama yako ya ' Kunyoosha ' maelezo bila Kupepesa macho, Kutikisa masikio na Kumung'unya maneno tupo wachache hapa duniani.
Nawasilisha.
Kusoma hujui!!!!!
Gent ww umehitimisha kwa kumsifia sana Jerry lakini mm najua ww umesifia kwa kuwa tu kapondea yanga na sio kingine.Ulichokiandika hapa ama hakika kimezidi Kiwango cha Upumbavu ulionao.
Gent ww umehitimisha kwa kumsifia sana Jerry lakini mm najua ww umesifia kwa kuwa tu kapondea yanga na sio kingine.
Ok, ila kumbuka kwa sokala bongo hakuna SIMBA imara bila YANGA imara!Maisha Kupokezana mbona hata Sisi Simba SC tuliumia na kuteseka mno wakati wa awamu ya JK na Serikali yake? Watu wa Simba SC tulikuwa ' hatupumui ' na tulinyanyasika sana hadi wengine tukapoteza ' Nuru ' zetu Usoni. Asante Serikali ya Awamu ya Gwala / Tano chini yake Jemedari, Mwanamume na Shujaa Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli ( ambaye ni Mnazi Kindakindaki na LiaLia ) wa Simba Sports Club bila kumsahau Waziri Mkuu wake, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, 75% ya Baraza lake la Mawaziri ni ' Mnyama Mnyamani ' tupu achilia mbali ' Watendaji ' wake wengine.
Yanga SC watulie tu na ' tutawatesa ' hadi 2025 na sasa hivi tunataka Kuhakikisha hata Rais atakayekuja ' Kumrithi ' JPM nae lazima awe ni mwana Msimbazi mwanzo mwisho. Yaani tunataka ' tuwanyanyase ' na ' tuwatese ' Yanga hadi watuombe radhi / msamaha huku wakitunyooshea mikono. Awamu ya Nne ya Rais Mstaafu Kikwete ' ilitutesa ' mno na sana wana Simba SC hivyo sasa na Sisi ' tunenepe ' na Awamu hii ya JPM wetu.
Watuvumilie tu kwakweli hakuna namna!
Serikali inafanya kila sehem ni siasa za kutukuzana, nimemuona waziri juzi kavaa mshati wenye bendera mbili, ila kiukweli ule ni unafiki wa hali ya juu maana watu wanamfahamu yuko chama lipi na pia zengwe analowapiga wana jangwani!Well said mkuu,Nina uhakika Yanga itapitia wakati mgumu sana pia kama huyu kocha akitikiswa .. to be honest, kinachoibeba yanga kwa sasa ni spirit ya Zahera ila kiuchumi wako dhooful hali.
Serikali ikaebali na soka!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilimdharau sana kuvaa ile shirt, kiukweli taifa linapitia kipindi kigumu.Serikali inafanya kila sehem ni siasa za kutukuzana, nimemuona waziri juzi kavaa mshati wenye bendera mbili, ila kiukweli ule ni unafiki wa hali ya juu maana watu wanamfahamu yuko chama lipi na pia zengwe analowapiga wana jangwani!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikakumbuka makala ya Edo Kumwembe kwamba "sisi wa std 7 hatuwaonei wivu tena ma prof na ma dr" kwa maana sasa hivi akili na matendo yao ni sawa!Nilimdharau sana kuvaa ile shirt, kiukweli taifa linapitia kipindi kigumu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikakumbuka makala ya Edo Kumwembe kwamba "sisi wa std 7 hatuwaonei wivu tena ma prof na ma dr" kwa maana sasa hivi akili na matendo yao ni sawa!
Sent using Jamii Forums mobile app
kabisa mkuu yani saivi hata ukiwa na PhD unaogopa kujitangaza maana watu watajua wapo na msomi wa uchumi wa viwanda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yanga ilivyokuwa bora haikufungwa 5 na Al Ahly Misri Mechi mbili...Maisha Kupokezana mbona hata Sisi Simba SC tuliumia na kuteseka mno wakati wa awamu ya JK na Serikali yake? Watu wa Simba SC tulikuwa ' hatupumui ' na tulinyanyasika sana hadi wengine tukapoteza ' Nuru ' zetu Usoni. Asante Serikali ya Awamu ya Gwala / Tano chini yake Jemedari, Mwanamume na Shujaa Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli ( ambaye ni Mnazi Kindakindaki na LiaLia ) wa Simba Sports Club bila kumsahau Waziri Mkuu wake, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, 75% ya Baraza lake la Mawaziri ni ' Mnyama Mnyamani ' tupu achilia mbali ' Watendaji ' wake wengine.
Yanga SC watulie tu na ' tutawatesa ' hadi 2025 na sasa hivi tunataka Kuhakikisha hata Rais atakayekuja ' Kumrithi ' JPM nae lazima awe ni mwana Msimbazi mwanzo mwisho. Yaani tunataka ' tuwanyanyase ' na ' tuwatese ' Yanga hadi watuombe radhi / msamaha huku wakitunyooshea mikono. Awamu ya Nne ya Rais Mstaafu Kikwete ' ilitutesa ' mno na sana wana Simba SC hivyo sasa na Sisi ' tunenepe ' na Awamu hii ya JPM wetu.
Watuvumilie tu kwakweli hakuna namna!
Nukuu ya mwinyi Zahera na hiyo no 6 ni ya kijinga sanaHuku akiongea kwa ' Kufoka ' kama kawaida yake na akitawaliwa na ' Hasira ' zake za Kimachame aliyewahi kuwa Msemaji wa Klabu ya Omba Omba Bakuli FC ( Yanga ) na sasa akiwa ni Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mheshimiwa akizungumza TBC Taifa kupitia Mtangazaji wake Jesse John ameamua Kuvunja ukimya na ' Kutapika ' nyongo dhidi ya Klabu yake hiyo, Viongozi wake, Kocha wake na Msemaji wake.
Akiwa pia amekubali mwenyewe kuvalia Jezi ya Mnyama Mnyamani ( Timu ya Mwenyezi Mungu na iliyobarikiwa nae ) ya Simba SC huku akiitama ikicheza Kandanda safi kabisa na Kuifunga Timu ya African Lyon katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Kaluta leo Mheshimiwa Jerry Muro aliamua kusema haya maneno yake ambayp nitayanukuu hapa moja kwa moja bila kuongeza wala kupunguza chochote kile.
Nukuu # 1. " Tusidanganyane Yanga hakuna Viongozi sasa bali kuna Wajanja Wajanja tupu na kamwe tusitegemee makubwa kutoka Kwao "
Nukuu # 2. " Yanga haina Kocha bali ina Mhamasishaji tu na Mtu ambaye amewashika akili Watu wachache kwa Kujifanya anachangia Pesa zake huku akiwa hakuna chochote anachokifundisha na amekuwa ni Msemaji zaidi zaidi ya Mwalimu "
Nukuu # 3. " Mimi Jerry Muro ndiye niliweza kuleta Hamasa kwa Mashabiki na Wapenzi wa Yanga hadi wakawa na mwamko na Timu yao lakini cha Kushangaza huyu Msemaji wa sasa niliyedhani kuwa ataweza kuvaa vizuri Viatu vyangu naona vimempwaya kabisa na anafanya Yanga inyanyasike mno na Msemaji wa Simba Kaka yangu Haji Manara "
Nukuu # 4. " Mimi ni Yanga tena lialia kama siyo kindakindaki kabisa ila sitaki kuwa Mnafiki na ukweli ni kwamba Simba wako vizuri, wamesajili Kiufundi kabisa na watafanya vyema kabisa kwani wanajua nina wanachokifanya kwakuwa wana Watu makini "
Nukuu # 5. " Yanga ina mengi sana ya Kuiga na Kujifunza kutoka kwa Simba na hili wala tusijifiche au tusijifanye hatuoni. Wenzetu wameshatutangulia na kupiga hatua za Kimaendeleo na Sisi tunabaki tu kutembeza Bakuli kila Siku hii ni aibu "
Nukuu # 6. " Kwa aina ya Kikosi kile cha Simba kilichosheheni Mafundi watupu ni Mjinga na Mpumbavu tu pekee ndiyo angejua kuwa mechi ya juzi Yanga tusingefungwa na kuna uwezekano Wachezaji wa Simba walituonea huruma kwani walikuwa na uwezo hata wa Kutupiga / Kutufunga Goli 5 na zaidi ila waliamua Kutusitiri tu Watani zao tusiumbuke "
Nukuu # 7. " Mashabiki wa Yanga nao hawaeleweki kwani wanaenda Uwanjani kwa ' Kubipu ' tofauti na wenzao wa Simba ambao kiukweli nawasifu mno kwakuwa wamekuwa bega kwa bega na Timu yao na wanaishangilia muda wote tofauti na Wetu ambao huwa kimya utadhani ni Wakiwa "
Hongera sana na mno Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Jerry Muro kwa kuamua ' Kunyoosha ' maelezo yako hivi. Wenye akili na wanaojua mpira wamekusikia. Binafsi huwa napenda sana Watu wawazi na wakweli kama hivi Wewe na wenye tabia hii kama yako ya ' Kunyoosha ' maelezo bila Kupepesa macho, Kutikisa masikio na Kumung'unya maneno tupo wachache hapa duniani.
Nawasilisha.