kivyako
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 14,341
- 12,045
Mi ni mpenzi wa Simba, ila kinachofanyika kwa Yanga ni siasa za uhasama, the government is against Yanga, bifu ya Manji na mkulu inaihumiza Yanga, kila kiongozi wa kisiasa anataka aonekane yuko against na Yanga ili kumipress mkulu, siasa na michezo havijawahi kufanya kazi pamoja
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app