Dawa ya Maralia
Member
- Jul 11, 2011
- 12
- 7
Niwape wadau wa JF kwa kazi nzuri mnayoielimisha jamii kupitia mtandao huu, salute kwenu.
Nimekuwa nikifuatilia mwenendo wa CCM toka wameanzisha operesheni hii vua gamba, ukiafuatilia kwa makini kabisa(jaribu kufikiri angalau kwa dk 5) ndugu zanguni, unajiuliza hivi gamba ni lipi ndani ya CCM wao wanadai eti ni wenzao wa 3 (EL,RA,AC) nimewafuatilia kwa makini hawa jamaa kwa mujibu wa kashfa na tuhuma ambazo wanazo tukianza na AC yeye ana kashfa ya RADA, RA yeye ana tuhuma za Kagoda,EL yeye Richmond sasa je walichukua imprest za hela hizo peke yao bila Ikulu, Wizara au mamlaka husika bila kubaliki mchakato huu, nikitu kisichowezeka kabisa hata ndani ya familia tu Mama au Baba afanye manunuzi makubwa bila hata mwenzake kujulishwa wakati mwingine hata watoto wanajulishwa sembuse serikalini. Wana JF huu ni usanii wa kupindukia tatizo sisi Watz ni mambumbu wa kupindukia hatuchambui mambo kwa umakini matokeo yake tuna ushabiki wa kupindukia na hili ni tatizo kwa taifa, Pesa ya serikali haitolewi na mtu yeyote hata Rais ha uwezo huo bila kuwashirikisha watu wa karibu yake sasa haikupaswa kuwalaumu hawa jamaa especially lawama tunazozitoa sisi wananchi moja kwa moja kwao ni kosa kubwa na tunatenda dhambi kubwa wanaJF.
Kwa hili ilipaswa watu wailaumu moja kwa moja, Kilichotokea hapa watu walitafuta hela ya kuwasidia kutawala na hawa jamaa walikuwa ni migongo ya kupitishia fedha kutokana na mamlaka yao au uwezo wao, kwa wale wanaokumbuka mwaka 2005 hawa jamaa walipewa jukumu la kutafuta fedha usiku na mchana hawalali ili mwenzao apate sasa kilichotokea baadhi yetu JF tunajua kabisa mwenzao amewageuka (kwa lugha nyingine kama kichwa cha habari kinavyozungumza), Unajua ukiwa mswahili ni mswahili tu jamaa kawatosa wenzake kwa ambae angekuwepo Mbeya kwenye maandamano yao ya juzi ilishangaza wamechukua watu toka vijijini huko wanashindia maji aibu, Agenda za kuzungumza hawana Sendeka,Sitta,Mwakyembe,Nape wanaongea vitu havina mpangilio kabisa,inaonyesha dhahiri wametumwa na Chairman kuwaponda hawa jamaa hii ni dharau kabisa kwa wananchi Sitta anasema tatizo la umeme ni mikataba wanaiangalia, wanaingalia miaka mingapi? eti Sendeka anasema Uamuzi mgumu hata machizi wanaweza kuuchukua Serikali inachukua uamuzi makini, Jamani Serikali hii ya awamu ya 4 uamuzi upi makini wameuchukua mpaka sasa kuleta ahueni ya maisha ya mtanzania wa kawaida hebu yeyote aorodheshe. Sasa hivi ukiwa nchi za wenzetu ukisema mimi mtanzania unaona aibu nchi ipo gizani,Rais hana speech itakoyoweza kumvuta hata mtu wa kawaida kumsikiliza kwa sasa alishatoa kauli taifa kuwa gizani itakuwa ndoto matokeo yake imekuwa vise versa hivi nani anamshauri Rais kwa sasa Watanzania ifike mahali tuwatafute washauri wa Rais tuwajue na kama wapo kwa kweli wanastahili laana ya kutupwa haiwezekana Mhe. Rais anafanya vitu vya ajabu mpaka watu ambao hawajaenda shule wanashangaa ameita Mawaziri,Makatibu na Manaibu wao Dodoma wanakaa kuwasuta eti ni semina elekezi hivi kweli Mwananchi wakawaida anapaswa kujua mawaziri na manaibu mwaziri hawaelewani au waziri anashindwa kutoa taarifa mpaka ampigie yeye. WanaJF gamba lipo moja tu likitoka hilo Tanzania Bora tutaiona tuendelee kuomba Mungu haya yatimie siku zote malipo ya dhambi zote yapo hapahapa duniani tuendelee kuomba mungu atujalie moyo wa uvumilivu lakini ukweli utakuja kuonekena no matter itachukua muda gani.
Mungu Ibariki Afrika,Mungu Ibariki. Tanzania.
Ahsanteni.
Nimekuwa nikifuatilia mwenendo wa CCM toka wameanzisha operesheni hii vua gamba, ukiafuatilia kwa makini kabisa(jaribu kufikiri angalau kwa dk 5) ndugu zanguni, unajiuliza hivi gamba ni lipi ndani ya CCM wao wanadai eti ni wenzao wa 3 (EL,RA,AC) nimewafuatilia kwa makini hawa jamaa kwa mujibu wa kashfa na tuhuma ambazo wanazo tukianza na AC yeye ana kashfa ya RADA, RA yeye ana tuhuma za Kagoda,EL yeye Richmond sasa je walichukua imprest za hela hizo peke yao bila Ikulu, Wizara au mamlaka husika bila kubaliki mchakato huu, nikitu kisichowezeka kabisa hata ndani ya familia tu Mama au Baba afanye manunuzi makubwa bila hata mwenzake kujulishwa wakati mwingine hata watoto wanajulishwa sembuse serikalini. Wana JF huu ni usanii wa kupindukia tatizo sisi Watz ni mambumbu wa kupindukia hatuchambui mambo kwa umakini matokeo yake tuna ushabiki wa kupindukia na hili ni tatizo kwa taifa, Pesa ya serikali haitolewi na mtu yeyote hata Rais ha uwezo huo bila kuwashirikisha watu wa karibu yake sasa haikupaswa kuwalaumu hawa jamaa especially lawama tunazozitoa sisi wananchi moja kwa moja kwao ni kosa kubwa na tunatenda dhambi kubwa wanaJF.
Kwa hili ilipaswa watu wailaumu moja kwa moja, Kilichotokea hapa watu walitafuta hela ya kuwasidia kutawala na hawa jamaa walikuwa ni migongo ya kupitishia fedha kutokana na mamlaka yao au uwezo wao, kwa wale wanaokumbuka mwaka 2005 hawa jamaa walipewa jukumu la kutafuta fedha usiku na mchana hawalali ili mwenzao apate sasa kilichotokea baadhi yetu JF tunajua kabisa mwenzao amewageuka (kwa lugha nyingine kama kichwa cha habari kinavyozungumza), Unajua ukiwa mswahili ni mswahili tu jamaa kawatosa wenzake kwa ambae angekuwepo Mbeya kwenye maandamano yao ya juzi ilishangaza wamechukua watu toka vijijini huko wanashindia maji aibu, Agenda za kuzungumza hawana Sendeka,Sitta,Mwakyembe,Nape wanaongea vitu havina mpangilio kabisa,inaonyesha dhahiri wametumwa na Chairman kuwaponda hawa jamaa hii ni dharau kabisa kwa wananchi Sitta anasema tatizo la umeme ni mikataba wanaiangalia, wanaingalia miaka mingapi? eti Sendeka anasema Uamuzi mgumu hata machizi wanaweza kuuchukua Serikali inachukua uamuzi makini, Jamani Serikali hii ya awamu ya 4 uamuzi upi makini wameuchukua mpaka sasa kuleta ahueni ya maisha ya mtanzania wa kawaida hebu yeyote aorodheshe. Sasa hivi ukiwa nchi za wenzetu ukisema mimi mtanzania unaona aibu nchi ipo gizani,Rais hana speech itakoyoweza kumvuta hata mtu wa kawaida kumsikiliza kwa sasa alishatoa kauli taifa kuwa gizani itakuwa ndoto matokeo yake imekuwa vise versa hivi nani anamshauri Rais kwa sasa Watanzania ifike mahali tuwatafute washauri wa Rais tuwajue na kama wapo kwa kweli wanastahili laana ya kutupwa haiwezekana Mhe. Rais anafanya vitu vya ajabu mpaka watu ambao hawajaenda shule wanashangaa ameita Mawaziri,Makatibu na Manaibu wao Dodoma wanakaa kuwasuta eti ni semina elekezi hivi kweli Mwananchi wakawaida anapaswa kujua mawaziri na manaibu mwaziri hawaelewani au waziri anashindwa kutoa taarifa mpaka ampigie yeye. WanaJF gamba lipo moja tu likitoka hilo Tanzania Bora tutaiona tuendelee kuomba Mungu haya yatimie siku zote malipo ya dhambi zote yapo hapahapa duniani tuendelee kuomba mungu atujalie moyo wa uvumilivu lakini ukweli utakuja kuonekena no matter itachukua muda gani.
Mungu Ibariki Afrika,Mungu Ibariki. Tanzania.
Ahsanteni.