Hatimaye ccm yageuka chama cha upinzani bungeni

Hatimaye ccm yageuka chama cha upinzani bungeni

Kanundu

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
889
Reaction score
347
Wakuu!

Heshima kwenu.

Kwa siku kadhaa baada ya kufuatilia mikutano ya Bunge la Bajeti sikuamini macho na masiko yangu baada ya kuona kwamba CCM kuanzia asubuhi mpaka jioni kila siku, ina kazi ya kujibu na kujieleza mbele ya hoja za CHADEMA. Na kwa vile CCM haina majibu ya kweli na uhakika, wabunge wake wanaishia kuporomosha matusi ambayo watu wenye busara zao hawawezi kukaa kwenye vyombo vya habari na kusikiliza hoja za wabunge wa CCM.

Naamini wameamua kujipa uzoefu, maana wamesha jua kwamba 2015 ndio hasa sehemu yao pale CHADEMA itakapo kuwa inawajibika kwa waTanzania baada ya kuchukua DOLA.

Kwa washindwa msinipige Mawe tafadhali.
 
Mfano mzuri ni jioni ya leo, yaani pamoja na kwamba majembe sita yapo nje ya bunge, Mnyika amesababisha maCCM yatumie rasilimali zote kujibu hoja zake, kuanzia Mwanasheria, mawaziri wa ofisi za rais, wabunge maCCM wanaotafuta uwaziri hadi kitimoto chenyewe cha speaker
 
U sahihi.,Wabunge wengi wa ccm wamechanganyikiwa.,vifua vimewajaa hasira dhidi ya chadema bila ya sababu za msingi zaidi ya kuambiwa ukweli,kweli tupu.Wanaharisha maneno kwa chuki na wengine kutetea hata kile wasichokijua wala kukiamin.
 
Mleta mada zingatia yafuatayo @ usimpe mtu namba ya simu, pia tembea na vidonge vya usingizi ili wakikuteka tu unakunywa faster ili kupunguza maumivu wakati wanakung'oa jicho, meno na kucha kwani huwa hawatumii ganzi. Amen!
 
Mbunge 1 wa Chadema ni zaidi ya Wabunge 50 wa CCM. Na hiyo inazidi kujidhihrisha. Chezeya Chadema weye!
 
Mleta mada zingatia yafuatayo @ usimpe mtu namba ya simu, pia tembea na vidonge vya usingizi ili wakikuteka tu unakunywa faster ili kupunguza maumivu wakati wanakung'oa jicho, meno na kucha kwani huwa hawatumii ganzi. Amen!

Mkuu!

Umenitisha! Kuanzia leo sichangii tena humu jamvini. Nasubiria kumalizia hasira kwenye sanduku la kupigia kura 2015
 
kuitetea ccm kwa kipindi hiki ni lazima uwe na akili za kiwendawazimu
 
Hawa maccm wako tayari kwa lolote : 'liwalo na liwe'. wanapenda amani wakiwa madaralni na sikinyume chake.
 
Mwigulu Machemba, Yule kijana anayetafuta umaarufu nje na ndani ya CCM kwa gharama yoyote inaonekana anapata faraja zaidi pale mauongo yake yanapokuwa yanaaminiwa na Maccm wenzake. Huyu ni yule mkuu wa nchi alimsifia hadharani pale waliposema kuwa aliichana chana budget ya kambi ya upizani. Huyu ni kijana anayetafuta umaarufu kwa gharama yoyote ile.. Ebu tumwogope huyu jamaa maana ni hatari kul;iko ukimwi.... The enemy ogf God, ni mtu anayetengeneza Kesi za Kigaidi bila kuwa na ugaidi nchi.....
 
Mwingulu mchemba ni shetani, mbwa, mwizi, fedhuli, fisadi, muongo, msengenyaji, fitina, roho mbaya, mchumia tumbo, mlevi wa madaraka, mlafi, mzinzi ect.huyu mtu hafai aogopwe kama ukimwi pia atengwe na jamii.hana uzalendo na nchi yetu nzuri ya Tanzania. Tumtenge huyu mtu hafai.
 
'Hakuna umaskini mbaya kama umaskini wa mawazo, ni umaskini mbaya sana' - Mwalimu Julius Nyerere
 
Practice makes perfect wanachukua zoezi si unajua 2015.mwigulu nchemba atakuwa msemaji rasmi wa kambi ya upinzani.
 
Kama tulivyojulishwa humuhumu kwamba kete ya Ccm ilikuwa iwe jaribio la Mapinduzi lililopangwa kufanyika December, baada ya hii Kete ya Ugaidi kubuma , kuvuja kwa habari hiyo na Ripoti aliyoitoa Marando juzi vimewachanganya mno Wabunge wa Ccm , ikiwa ni pamoja na huyu naibu spika wa ajabu kupata kutokea duniani ndugu Job Ndugai , maana Wabunge wote wa CCM walizijua hizo njama siku nyingi sana na wengine wameshiriki kuzitengeneza , rejea kauli za Masatu Wasira , kuharibika kwa dili hiyo kumeleta Taharuki kubwa mno , shortly ni kwamba wamechanganyikiwa kabisa na tutegemee madudu zaidi kutoka kwa wabunge wa CCM .
 
Kama tulivyojulishwa humuhumu kwamba kete ya Ccm ilikuwa iwe jaribio la Mapinduzi lililopangwa kufanyika December, baada ya hii Kete ya Ugaidi kubuma , kuvuja kwa habari hiyo na Ripoti aliyoitoa Marando juzi vimewachanganya mno Wabunge wa Ccm , ikiwa ni pamoja na huyu naibu spika wa ajabu kupata kutokea duniani ndugu Job Ndugai , maana Wabunge wote wa CCM walizijua hizo njama siku nyingi sana na wengine wameshiriki kuzitengeneza , rejea kauli za Masatu Wasira , kuharibika kwa dili hiyo kumeleta Taharuki kubwa mno , shortly ni kwamba wamechanganyikiwa kabisa na tutegemee madudu zaidi kutoka kwa wabunge wa CCM .

Mbona watakimbia nchi!!!!! Hebu subiria Jumamosi Makamanda watakavyo piga KENGE KICHWANI HADI DAMU ITOKE MASIKIONI. Hapo ndiyo utajua Kenge kafa.
 
Na bado,inafaa hata 2015 wasifike watuachie nchi yetu hawa wezi wa maliasiri zetu.. wamekomba mpaka ukoko
 
Me nawashangaa CCM, bungeni wapo mia mbili na uchafu lakini wabunge 10 wa CHADEMA wanawanyima raha. Jengeni hoja
 
Mbona watakimbia nchi!!!!! Hebu subiria Jumamosi Makamanda watakavyo piga KENGE KICHWANI HADI DAMU ITOKE MASIKIONI. Hapo ndiyo utajua Kenge kafa.

Ha! Ha! Ha! Ha! Wee ni noma kumbe umeshtukia issue du !
 
Back
Top Bottom