Inafumuliwa yote au wana ziba viraka? Ina urefu wa kilometer ngapi.
wanaziba viraka, less than 2 km kuania maungio ya Kenyata hadi Tanganyika bus na budget yake inatosha kujenga barabara ya lami yenye urefu wa zaidi ya km 15. chezea green wewe...
Sio ajabu sana kwa kipande hicho kifupi kufungwa kwa zaidi ya miezi miwili.
Miezi miwili mbona michache sana mkuu, mwaka jana ilifungwa takribani miezi 9, imefunguliwa hata mwaka haujaisha tangu ianze kufanya kazi mahandaki yakajaa barabarani
wanaziba viraka, less than 2 km kuania maungio ya kenyata hadi tanganyika bus na budget yake inatosha kujenga barabara ya lami yenye urefu wa zaidi ya km 15. Chezea green wewe...
Kama wiki moja imepita, tulijiuliza hapa ndani kwamba mmiliki wa hii barabara ya pamba hapa mwanza ni nani, watu tuliongea hapa, kweli barabara ile haifai, barabara ina mahandaki na iko katikati ya mji, hatimaye barabara imeanza kukarabatiwa, imefungwa upande wa kuanzia Kenyatta road hadi hapa bank ya barclays, ngoja tuone itafungwa kwa muda gani na ubora wa hiyo barabara utakavyokuwa
idumulwa, Aaron, kalimizzle, Honey Faith, Super H, charminglady, Marire, Ndetichia
Mum... Wala hata usiumize kichwa na hiyo barabara, make ni mradi wa watu fulani. Haiwezekani kila mwaka hiyo barabara inatengewa fungu. Et kisa eneo korofi, hivi unaikumbuka barabara ya mabatini ilivyokuwa inatitia enzi hizo? Mbona ile kampuni (jina limenitoka) ilijenga na mpaka leo haina tatizo.
Vipi kuhusu barabara ya Kilimahewa, majaruba barabara nzima mbona ilijengwa na haina tatizo???
Chezeiya miradi ya watu wewe
Bila shaka wajenzi ni Nyanza Road works.
nyanza road kwa sasa ni kampuni bora sana, aliwachukua wale waitaliano wa astald, na tangu anyimwe tenda na EU baada ya kuona kazi zake mbovu alishakataa kujenga barabara chini ya kiwango yuko radhi kutema mzigo kuliko kujenga chini ya kiwango.
Wametoa lami yote iliyokuwepo...... ila naona mjenzi ni yule yule wa miaka yote, sitashangaa kuona itatumika miezi sita inarudi pale pale