Baraza la bakwata latoa tamko kuwataka waumini kushirikia katika sensa ya mwaka huu
Wabaya wa Uislam ni akina nani? angalia...kikulacho ki nguoni mwako...!Ngoja wabaya wa uislam waje kuchangia
Baraza la bakwata latoa tamko kuwataka waumini kushirikia katika sensa ya mwaka huu
Ngoja wabaya wa uislam waje kuchangia
Baraza la bakwata latoa tamko kuwataka waumini kushirikia katika sensa ya mwaka huu
Uamsho....tunao humu humu...Niliwahi kusema wanaudhalilisha uislamu na kupandikiza chuki na wakati mwingine nadhani wanafanya makusudi ili waislamu waonekane kuwa ni watu wasiolewa kabisa ....soon watatia timu...Yetu macho tunasubiria shura ya maimamu...uamsho...balukta......bakwata...nkNi kina nani hao?
sasa naona kuna bakwata asili na bakwata kampuni
Ni kina nani hao?